Kanuni 10 za msingi za kuzuia magonjwa ya ndege (kuku, bata, bata mzinga, kanga)

Magonjwa ya kuku, tiba na kingaNcMagonjwa ya kuku, tiba na kinga

KANUNI ZA MSINGI

  1. Wape kuku lishe jnayofaa na maji safi haswa vifaranga wadogo.
  2. Wajengee mabanda/nyumba ya kujisitiri dhidi ya upepo na mvua.
  3. Safisha nyumba ya ndege mara kwa mara.
  4. Ikiwa ni lazima wapatie takataka kavu mara kwa mara.
  5. Usiweke ndege wengi pamoja.
  6. Aina tofauti za ndege kwa mfano kuku,bata mzinga na bata wanafaa kutenganishwa.
  7. Watenganishe vifaranga na ndege wakubwa ila tu kwa mama yao.
  8. Chanja vifaranga  dhidi ya magonjwa muhimu na wachanje mara tena ikikulazimu. Kumbuka ni ndege tu walio na afya  bora (wasio na ugonjwa) wanafaa kuchanjwa.
  9. Watenge ndege wagonjwa-ikiwa matibabu hayapatikani  waue ndege wagonjwa.
  10. Choma ama zika ndege waliouliwa.

Leave a Reply