Na Sefania Kajange:
MWENZI WA 1-2 (Chick mash)
| Kiini lishe | Uzito (kg) |
| Mashudu | 17 |
| Mahindi | 20 |
| Pumba | 43 |
| Dagaa | 15 |
| Chokaa | 2 |
| Konokono | 2 |
| Chumvi | 0.5 |
| Premix | 0.25 |
| Jumla | 100 |
MIENZI 3-4 (Growers mash)
| Kiini lishe | Uzito (kg) |
| Mashudu | 12 |
| Mahindi | 10 |
| Pumba | 60 |
| Dagaa | 10 |
| Chokaa | 3 |
| Konokono | 4 |
| Chumvi | 0.5 |
| Premix | 0.25 |
| Jumla | 100 |
MIENZI 4 NA KUENDELEA (Layers mash)
| Kiini lishe | Uzito (kg) |
| Mashudu | 15 |
| Mahindi | 20 |
| Pumba | 42 |
| Dagaa | 10 |
| Chokaa | 7 |
| Konokono | 5 |
| Chumvi | 0.5 |
| Premix | 0.25 |
| Jumla | 100 |
Hii ni kwa mchanganyo sahihi lakini pia unashauriwa kununua chakula cha dukani na kutokana na kuwa kuna uwezekano wa kuchanganya tofauti hivyo unaweza usifkie malengo katika ufugaji.
🙏🇹🇿✍
Fuga KIBIASHARA kwa MALENGO timiza NDOTO yako.
