Na Sefania Kajange:
MWENZI WA 1-2 (Chick mash)
Kiini lishe | Uzito (kg) |
Mashudu | 17 |
Mahindi | 20 |
Pumba | 43 |
Dagaa | 15 |
Chokaa | 2 |
Konokono | 2 |
Chumvi | 0.5 |
Premix | 0.25 |
Jumla | 100 |
MIENZI 3-4 (Growers mash)
Kiini lishe | Uzito (kg) |
Mashudu | 12 |
Mahindi | 10 |
Pumba | 60 |
Dagaa | 10 |
Chokaa | 3 |
Konokono | 4 |
Chumvi | 0.5 |
Premix | 0.25 |
Jumla | 100 |
MIENZI 4 NA KUENDELEA (Layers mash)
Kiini lishe | Uzito (kg) |
Mashudu | 15 |
Mahindi | 20 |
Pumba | 42 |
Dagaa | 10 |
Chokaa | 7 |
Konokono | 5 |
Chumvi | 0.5 |
Premix | 0.25 |
Jumla | 100 |
Hii ni kwa mchanganyo sahihi lakini pia unashauriwa kununua chakula cha dukani na kutokana na kuwa kuna uwezekano wa kuchanganya tofauti hivyo unaweza usifkie malengo katika ufugaji.
🙏🇹🇿✍
Fuga KIBIASHARA kwa MALENGO timiza NDOTO yako.