Ulishaji wa kuku wa mayai
Kuku wa mayai ili watage vizuri wanatakiwa walishwe chakula bora kwa utaratibu unaotakiwa, ukiwazidishia au kuwaongezea hawatotaga vizuri. Wanatakiwa walishwe kati na kati kulingana na umri kama ifuatavyo:- UMRI WA…
Ufugaji wa kuku wa kienyeji
UTANGULIZI Napenda kumshukuru mwenyezi Mungu ambaye ameniwezesha kwa namna moja au nyingine kutoa mchango wangu kwa mtindo huu. Huu ni kama mwongozo tu wa nini utakabiliana nacho au unatakiwa kufanya…
Zijue mbinu bora za ufugaji wa kuku
Na Martin Mhina Nigusie mbinu kadhaa za ufugaji bora wa kuku (a) Jinsi ya kutengeneza mchwa ili kupata protini ya ziada Fuata hatua zifuatazo 1: Changanya kinyesi kikavu cha ngo’mbe…
Ujenzi wa banda la kuku
Kuku wanahitaji kujengewa banda ili wasiathiriwe na madhara mbali mbali kama wanyama wakali, wezi na mabadiliko ya hali ya hewa. Vile vile banda bora hurahisisha kazi ya utunzaji. Mahali pa…
Sifa za nyumba nzuri ya kulelea vifaranga
Mambo muhimu ya kuzingatia wakati wa kujenga nyumba ya vifaranga Unapo jenga nyumba ya vifaranga itafaa ufikirie yafuatayo:- Nyumba ya vifaranga iwe karibu na nyumba yako mwenyewe ili uweze kuwakagua…
Ufugaji bora wa kuku na udhibiti wa magonjwa
SIFA ZA JOGOO NA TETEA BORA 1. SIFA ZA JOGOO BORA Awe na umbo kubwa Awe na ukiko nzuri usioangukia upande mmoja Awe mchangamfu Apende kuwa na himaya yake. Sifa…
Banda la kuku wa kienyeji
Sifa za banda bora la Kuku Banda bora la kuku linatakiwa kuwa kama ifuatavyo: Liwe jengo imara Pasiwe na sehemu zilizo wazi kwenye msingi na kati ya ukuta na paa.…
Jinsi ya kulea kuku na kupata faida zaidi
Wakati wa kufuga ni muhimu kuku wapate sehemu ya wazi wanayoweza kutembea kwa uhuru. mfugaji mwenye lengo la kufuga kuku wengi wenye umri mmoja na kupata mayai mengi au aweze…
Upatikanaji na utumiaji wa taarifa na vyombo vya mawasiliano baina ya wafugaji ili kuboresha ufugaji wa kuku
Imeeandikwa na watafiti B. A.Temba, F.K.Kajuna, G.S.Pango na R Benard kuchapishwa kwenye jarida (journal) la Livestock Research for Rural Development toleo la 28 (1) la Januari 2016 kwa lugha ya…
Ufugaji wa kuku wa kienyeji na uzalishaji wa minyoo na mchwa kwa chakula cha kuku
Ndege wa kufuga ni kama vile kuku, bata, batamzinga, kanga na bata bukini. Kuku hasa ndio wanaofugwa zaidi. Watu wengi hufuga kuku wa kienyeji ambao huachiliwa kuzurura wakijitafutia chakula. Ingawa…
Kiasi cha chakula cha kulisha kuku kwa siku
Umri (Wiki) Kiasi (gramu) Kiasi kwa kuku 100 (Kilo) 1 12-15 1.2-1.5 2 15-21 1.5-2.1 2 21-35 2.1-3.5 4-6 35-50 3.5-5.5 7-8 55-60 5.5-6.8 8-16 60-68 6.8-7.5 16-27 68-80 7.5-9.0…
Ukosefu wa Vitamini kwa kuku (Avitaminosis)
Na Mkulimastar Upungufu wa vitamini hujionyesha kwa namna tofauti katika miili ya kuku, na kila dalili huashiri upungufu wa vitamin. Sio kila ugonjwa unao uona katika kuku, kanga, na hata…
Kanuni za ufugaji bora wa kuku
Watu wengi hapa nchini hujihusisha na ufugaji wa kuku kwa lengo la kujipatia chakula na kipato. Mazao yatokanayo na ufugaji wa kuku ni pamoja na mayai, nyama, mbolea na manyoya…
Mchanganuo wa mradi wa ufugaji wa kuku wa kienyeji wa shilingi laki tatu
Na Erick Joseph LEO TUANGALIE MCHANGANUO WA TSHS 300,000/= (LAKI TATU) KWA KUANZISHA MRADI WA UFUGAJI KUKU WA KIENYEJI. Hapa tuta hitaji kuku 11 tu wakubwa wanao taga yani majike…
Jinsi ya kulea vifaranga wa Bata mzinga
Na Walter Riwa 0756264580 DSM (imehaririwa) Vifaranga wa bata mzinga ni tofauti na wa kuku kwani vifaranga wa kuku hutotolewa wakiwa tayari wanajua kujifunza kula na kunywa maji wakati wale…
Kanuni 10 za msingi za kuzuia magonjwa ya ndege (kuku, bata, bata mzinga, kanga)
KANUNI ZA MSINGI Wape kuku lishe jnayofaa na maji safi haswa vifaranga wadogo. Wajengee mabanda/nyumba ya kujisitiri dhidi ya upepo na mvua. Safisha nyumba ya ndege mara kwa mara. Ikiwa…
Tanzania ijayo: Ufugaji wa kisasa na biashara kubwa ya mazao ya mifugo yetu
BIASHARA YA MAZAO YA NG’OMBE DUNIANI Mazao makuu ya ng’ombe (cattle) ni: (i) NYAMA: beef (adult cattle) na veal (calves) na sehemu nyingine za ng’ombe zinatumika kwa chakula; (ii) MAZIWA…
Uandaaji wa chakula cha mifugo kwa njia ya hydroponics fodder
Na Michael Ngonyani Hydroponics ni utaratibu wa kuotesha mimea kwa kutumia maji bila kuhusisha matumizi ya mchanga kabisa, isipokuwa mimea inaoteshwa katika chombo maalum ‘tray” ambacho kipo katika hali ya…
You must be logged in to post a comment.