Zijue tofauti za ufugaji samaki wakati wa kiangazi na wakati wa masika
Na: Farida Mkongwe “Kimsingi hakuna tofauti kubwa wala athari kubwa sana za ufugaji wa samaki wakati wa kiangazi ukilinganisha na wakati wa masika, tofauti zilizopo ni ndogo ndogo ambazo kitaalamu…
Magonjwa ya kuku, Tiba na Kinga
1) Ugonjwa wa Mdondo Ugonjwa huu huathiri kuku katika umri wowote na unapoingia kwenye kundi huweza kuua idadi kubwa ya kuku hao hadi kufikia asilimia tisini. Ndege wakubwa hustahimili kidogo…
Zijue mbinu muhimu za kuanzisha mradi wa ufugaji wa samaki
Na Farida Mkongwe Ufugaji upo wa aina nyingi, katika mfululizo wa makala hizi tutaangalia ufugaji wa samaki na kwa kuanzia tutaangalia mbinu muhimu za kuzingatia wakati wa kuanzisha mradi wa…
Zaidi ya Nguruwe 2,000 wafa kwa ugonjwa wa Homa ya Nguruwe Nyamagana
Na gazeti la Mwanachi
Fuso lilikuwa limebeba Nguruwe limegongana na Lori maeneo ya Vigwaza
Gari aina ya FUSO lilikuwa limebeba Nguruwe likielekea Dar es Salaam limegeongana na Lori (Semi trailer) lililokuwa limebeba vifaa vya aina mbalimbali maeneo ya Vigwaza. Ajali hiyo imesababisha vifo vya…
Ujue ugonjwa wa Homa ya Nguruwe
Na Augustino Chengula Ugonjwa wa homa ya nguruwe unaojulikana kwa kitaalamu kama African Swine fever (ASF) unasababishwa na virusi vijulikanao kwa kitaalamu kama African Swine fever virus. Homa ya nguruwe…
Mapigano ya wakulima na wafugaji wilayani Mvomero yaibuka tena na kuua ng’ombe 79 na mtu mmoja
Wapiganapo fahari wawili ziumiazo ni nyasi unaweza kusema kutokana na mauaji ya kikatili ya ng’ombe wilayani Mvomero. Pia unaweza kusema ni kupima upepo wa Waziri mpya wa Kilimo, Mifugo na…
Aina bora za ng’ombe wa maziwa, banda na namna ya kuanza ufugaji
Na Mkulima Mbunifu Uzalishaji wa maziwa ni biashara nzuri sana na ya kuvutia ambayo huwa na faida nyingi na humfanya mfugaji kuridhika hasa kwa yule anayependa kazi hii. Hata hivyo,…
Ufugaji wa kuku kwa njia ya kisasa: Utagaji na uatamiaji wa mayai
Na Majumbeni Utagaji na uatamiaji wa mayai: Kuku huanza kutaga wakiwa na umri wa majuma 22-32 baada ya kuzaliwa kutegemeana na ukoo, afya na lishe. Kwa kawaida kuku wa kienyeji…
Shubiri mwitu tiba ya magonjwa ya kuku
Na Mkulima Mbunifu Kuku ni moja ya miradi inayofanywa kwa wingi na watu wa kada mbalimbali, wakiwamo wakulima na wafugaji, na wanaofanya shughuli nyinginezo. Moja ya changamoto ambazo zimekuwa zikiwakabili…
Ujue Ugonjwa wa Homa ya Bonde la Ufa (HBU)
Na Mwandish wetu Augustino Chengula Utangulizi Waliokuwepo mwaka 2007 nchini wakiwa na umri wa kuelewa mambo bila shaka watakuwa hawajasahau ugonjwa uliopelekea kuzuliwa kula nyama maeneo mengi ya nchi. Hofu…
Njia ya kutengeneza lishe bora ya asili kwa ajili ya ng’ombe wa maziwa kwa gharama nafuu
Na Mkulima Mbunifu Lishe bora Ng’ombe hawezi kulaumiwa kwa kushindwa kufanya urutubishaji. Ukosefu wa lishe sahihi husababisha ng’ombe kuwa dhaifu na pia husababisha kutokea kwa magonjwa ambayo huweza kuathiri mfumo…
Ufugaji Samaki Mkoani Kagera
Na Edson Kamukara Ule usemi kuwa penye miti hakuna wajenzi, unaonekana kwenda tofauti kwa wakazi wa Mkoa wa Kagera, wakazi hawa wana Ziwa Victoria, Burigi na visiwa vidogo 25 lakini…
Uzalishaji bila uchaguzi sahihi wa dume ni kufanya kazi kwa kubahatisha
Na Mkulima Mbunifu Tunaangalia uchaguzi wa dume mzuri kwa uzalishaji wa ng’ombe wa maziwa, pamoja na aina ya malisho ambayo mfugaji anaweza kuyatumia kuweza kukabiliana na changamoto ya malisho kwa…
Kijitabu cha mwongozo wa ufugaji wa kuku
Pakua kijitabu cha mwongozo wa ufugaji wa kuku kijitabu ambacho kitakusaidia uyajua mambo yafuatayo: Maana ya kuku wa asili Ujenzi wa mabanda ya kisasa ya kuku Vyakula vinavyohitajika kulisha kuku…
Mifumo ya Ufugaji wa Kuku
Na Henry Majumbeni Kuna aina tatu za mifumo ya uzalishaji wa kuku ambayo inaweza kutumika katika kufuga kuku. Uchaguzi wa mfumo wa kufuga kuku hutegemea , mtaji, matakwa ya mfugaji,…
Umuhimu wa kuwa na viota bora kwa ajili ya ufugaji wa kuku
Na Mkulima Mbunifu Kuku anapotagia porini, mayai huliwa na wanyama kama vile nyoka na wengineo. Kuku pia anaweza kudhuriwa na wanyama hao na wakati mwingine kuibwa. Viota ni mahali ambapo…
Utunzaji wa Nguruwe
Utunzaji wa nguruwe mara nyingi hutegemea aina ya nguruwe, njia na aina ya ufugaji. Kwa mfano nguruwe jike anayefugwa kwa ajili ya kuzaa anahitaji kutunzwa tofauti na wale wanaonenepeshwa kwa…
You must be logged in to post a comment.