Njia ya kutengeneza lishe bora ya asili kwa ajili ya ng’ombe wa maziwa kwa gharama nafuu
Na Mkulima Mbunifu Lishe bora Ng’ombe hawezi kulaumiwa kwa kushindwa kufanya urutubishaji. Ukosefu wa lishe sahihi husababisha ng’ombe kuwa dhaifu na pia husababisha kutokea kwa magonjwa ambayo huweza kuathiri mfumo…
Ufugaji Samaki Mkoani Kagera
Na Edson Kamukara Ule usemi kuwa penye miti hakuna wajenzi, unaonekana kwenda tofauti kwa wakazi wa Mkoa wa Kagera, wakazi hawa wana Ziwa Victoria, Burigi na visiwa vidogo 25 lakini…
Uzalishaji bila uchaguzi sahihi wa dume ni kufanya kazi kwa kubahatisha
Na Mkulima Mbunifu Tunaangalia uchaguzi wa dume mzuri kwa uzalishaji wa ng’ombe wa maziwa, pamoja na aina ya malisho ambayo mfugaji anaweza kuyatumia kuweza kukabiliana na changamoto ya malisho kwa…
Kijitabu cha mwongozo wa ufugaji wa kuku
Pakua kijitabu cha mwongozo wa ufugaji wa kuku kijitabu ambacho kitakusaidia uyajua mambo yafuatayo: Maana ya kuku wa asili Ujenzi wa mabanda ya kisasa ya kuku Vyakula vinavyohitajika kulisha kuku…
Mifumo ya Ufugaji wa Kuku
Na Henry Majumbeni Kuna aina tatu za mifumo ya uzalishaji wa kuku ambayo inaweza kutumika katika kufuga kuku. Uchaguzi wa mfumo wa kufuga kuku hutegemea , mtaji, matakwa ya mfugaji,…
Umuhimu wa kuwa na viota bora kwa ajili ya ufugaji wa kuku
Na Mkulima Mbunifu Kuku anapotagia porini, mayai huliwa na wanyama kama vile nyoka na wengineo. Kuku pia anaweza kudhuriwa na wanyama hao na wakati mwingine kuibwa. Viota ni mahali ambapo…
Utunzaji wa Nguruwe
Utunzaji wa nguruwe mara nyingi hutegemea aina ya nguruwe, njia na aina ya ufugaji. Kwa mfano nguruwe jike anayefugwa kwa ajili ya kuzaa anahitaji kutunzwa tofauti na wale wanaonenepeshwa kwa…
Utunzaji bora wa kuku wa kisasa
Kuku wa kisasa ni kuku maalum ambao wamezalishwa kwa madhumuni ya nyama au kutaga mayai. Ufugaji wa kuku wa kisasa unahitaji utaalamu maalumu. Uzalishaji wa kuku hawa-huweza kufanywa na mfugaji…
Ugonjwa wa Ndui kwa Kuku (Fowlpox)
Na Mwandishi Wetu Augustino Chengula Ndui ya kuku ni nini? Ndui ya kuku ni ugonjwa unaowapata kuku na bata ukienezwa na virusi wajulikanao kwa jina la kisayansi kama fowl pox…
Zijue mbinu za ufugaji wa kuku wa kienyeji
Na Kubota Kuna maandiko mengi ya ufugaji Kuku wa Kienyeji! Nawasilisha kwenu mbinu ambazo kwa mikono yangu nimezitumia kutatua changamoto za kuku wa kienyeji! Nimeandika kuwalenga wajasiliamali ambao hawana nguvu…
Ufugaji wa samaki
Tasnia ya ufugaji wa samaki inajumuisha ukuzaji wa viumbe vya kwenye maji (bahari na maji baridi) katika mazingira tofauti na yale ya asili. Lengo kuu ni kukuza kwa muda mfupi…
Nini cha kuzingatia unapoendesha mradi wa mayai
Iili kufanikiwa kufikia malengo ya kufuga kuku wa mayai ni vyema mfugaji akapata wasaa wa kujiuliza maswali kadhaa ili awe na dira sahihi ya kile anachotarajia kufanya kutokana na mapato…
Ufugaji bora wa kuzuia lava hatari wa nguruwe na anaye athiri binadamu
Gonga kiunganishi hiki Ufugaji bora wa kuzuia lava hatari wa nguruwe na anaye athiri binadamu kupata maelezo yake kwa kina.
Ufugaji wa kisasa vijijini unawezekana
Kuna wafugaji wengi tu wenye imani/dhana kwamba ufugaji wa kisasa vijini hauwezekani kulingana na utunzaji wake. Mfano huu wa Bwana Aidan Paulus wa huko Mbinga utatupa fundisho zuri tu wafugaji…
Ufugaji katika shamba la Rushu Ranchi Kisarawe
Mmoja kati ya madume ya Ngombe wa nyama aina ya Borani yanayofungwa katika Rushu Ranchi Afisa habari kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi Fatma akijitambulisha kwa Wadau…
Ufugaji wa kisasa utasaidia kuongeza uzalishaji wa maziwa
Heifer yapania kuongeza uzalishaji wa maziwa nchini Na THEDDY CHALLE “INGAWA Tanzania kuna ng’ombe wengi upungufu wa maziwa ni mkubwa kwa sababu idadi kubwa ya wafugaji bado wanafuga ng’ombe wa…
Namna bora ya kuhifadhi mbegu za samaki na uzalishaji wa vifaranga
Kuhifadhi mbegu za samaki kwa mzunguko mwingine Unapovuna samaki, hakikisha kuwa vifaranga au samaki wazazi utakaokuwa umewachagua wanawekwa katika kijibwawa kingine (kinachojulikana kama nursery pond) kabla ya kuwarudisha bwawa la…
Aina za mabwawa ya kufugia samaki
MABWAWA YA KUFUGIA SAMAKI Hili ni bwawa la kuchimbwa chini, lipo katika kituo cha ufugaji wa samaki cha serikali kilchopo Kingolwira mjini Morogoro. Yapo na mabwa mengine mengi kama yanavyoonekana…
Ufugaji wa Kambale kwenye mabwawa
Kambale (Ietalurus Punetaus), ni aiana ya samaki ambao wana majina mengi kulingana na eneo na jamii husika. Samaki hawa unaweza kusikia wakitajwa kwa majina mengine kama vile, kambale channel, koleo,…



