UFUGAJI WA MBUZI WA MAZIWA: MWANZO – MWISHO
Aina za Mbuzi wa Maziwa Aina ya mbuzi anayepatikana sehemu nyingi nchini ni Small East African Goat na hutoa kiwango kidogo sana cha maziwa. Hata hivyo mbuzi hawa wanaweza kuzalishwa…
Aina za Mbuzi wa Maziwa Aina ya mbuzi anayepatikana sehemu nyingi nchini ni Small East African Goat na hutoa kiwango kidogo sana cha maziwa. Hata hivyo mbuzi hawa wanaweza kuzalishwa…
Serikali imetangaza bei elekezi ya chanjo 13 za magonjwa ya mifugo ya kimkakati ambapo sasa wafugaji watapa ahueni kubwa kwa kutumia gharama ndogo kupata chanjo hizo huku Waziri wa Mifugo…
Ormilo ni jina la Kimaasai lenye maana ya ugonjwa unaoshambulia kichwa na kufanya Mbuzi na Kondoo wazunguke zunguke na kuanguka (kizunguzungu). Ni ugonjwa ambao umeibuka na kuwa tatizo kubwa sana…
PAKUA APP YA TOVUTI HII YA UFUGAJI HAPA Na Daniel Mbega BINAFSI nimezaliwa katika jamii ya wafugaji ambayo ulaji wa nyama, hasa ya mbuzi, ni sehemu ya maisha. Nakumbuka tangu…
Na Daniel Mbega BINAFSI nimezaliwa katika jamii ya wafugaji ambayo ulaji wa nyama, hasa ya mbuzi, ni sehemu ya maisha. Nakumbuka tangu nikiwa mdogo wakati tunaishi kwenye maboma porini mwanzoni…
Huu ni utafiti ulifanywa na C.Kiswaga, E.L. Mayenga (wa Halmashauri ya wilaya ya Same), F.V. Silayo (wa Halmashauri ya Korogwe mjini) na E.S.Swai (kutoka Wakala wa Maabara za Mifugo Tanzania,…
Na Augustino Chengula Utangulizi Minyoo bapa ni minyonyoo yenye urefu wa kuanzia midogo milimita moja hadi mirefu ya milimita 7. Kinachowatambulisha kwa urahisi ni uwepo wa vifyonzeo vya damu viwili,…
Mbuzi na kondoo wanaweza kufugwa kwa gharama nafuu na kuishi katika mazingira magumu kama ya maradhi na ukame ikilinganishwa na ng’ombe. Kutokana na umbile lao dogo wanaweza kufugwa katika eneo…
A. Upotevu wa kijusi kwa ng’ombe Imeeandikwa na Mhadhiri Dr. H. E. Nonga wa Chuo cha Sayansi ya Tiba ya Wanyama na Binadamu, Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo kilichopo…
Ndege wa kufuga ni kama vile kuku, bata, batamzinga, kanga na bata bukini. Kuku hasa ndio wanaofugwa zaidi. Watu wengi hufuga kuku wa kienyeji ambao huachiliwa kuzurura wakijitafutia chakula. Ingawa…
BIASHARA YA MAZAO YA NG’OMBE DUNIANI Mazao makuu ya ng’ombe (cattle) ni: (i) NYAMA: beef (adult cattle) na veal (calves) na sehemu nyingine za ng’ombe zinatumika kwa chakula; (ii) MAZIWA…
UTANGULIZI Ufugaji mseto wa samaki ni ufugaji ambao bwawa la samaki linakuwa ndani ya shamba pamoja na shughuli nyingine za shamba aidha hapo hapo shambani au katika eneo lililo mbali…
MADA KUHUSU USIMAMIZI WA MIGOGORO YA ARDHI HUSUSAN KATI YA WAKULIMA NA WAFUGAJI ILIYOWASILISHWA KWENYE MKUTANO WA WAKUU WA MIKOA, MAKATIBU TAWALA WA MIKOA NA WAKUU WA WILAYA YALIYOMO 1.0…
Na Augustino Chengula Ugonjwa wa kutupa mimba (Brucellosis) ni ugonjwa unaosababishwa na vimlea vya bakteria wajulikano kitaalamu kama Brucella. Ugonjwa wa kutupa mimba ni ugonjwa muhimu kwa wanyama kwani husababisha…
Kikundi cha ulinzi wa jadi kinachoundwa na wakulima maarufu kama Mwani, kinadaiwa kuvamia nyumba ya mfugaji mmoja wa jamii ya Kimasai katika kijiji cha Kambala, wilayani Mvomero, mkoa wa Morogoro…
Na Mkulima Mbunifu “Katika eneo letu, idadi ya wafugaji wa kondoo imepungua sana, wakati idadi ya wanohitaji imeongezeka hasa raia wa kigeni, na bei iko juu. Naomba maelezo namna ya…
Na Mwandish wetu Augustino Chengula Utangulizi Waliokuwepo mwaka 2007 nchini wakiwa na umri wa kuelewa mambo bila shaka watakuwa hawajasahau ugonjwa uliopelekea kuzuliwa kula nyama maeneo mengi ya nchi. Hofu…
Tasnia ya ufugaji wa samaki inajumuisha ukuzaji wa viumbe vya kwenye maji (bahari na maji baridi) katika mazingira tofauti na yale ya asili. Lengo kuu ni kukuza kwa muda mfupi…
Mmoja kati ya madume ya Ngombe wa nyama aina ya Borani yanayofungwa katika Rushu Ranchi Afisa habari kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi Fatma akijitambulisha kwa Wadau…
Heifer yapania kuongeza uzalishaji wa maziwa nchini Na THEDDY CHALLE “INGAWA Tanzania kuna ng’ombe wengi upungufu wa maziwa ni mkubwa kwa sababu idadi kubwa ya wafugaji bado wanafuga ng’ombe wa…
You must be logged in to post a comment.