NENO LA USHAWISHI
NENO LA USHAWISHI…….JE WEWE NI KIJANA NA UNAPENDA UFUGAJII???somaa hapaa habari wasomaje na wafuatiliaji wa blog yetu,Leo ningependa kutoa neno la ushawishi kwa vijana wenzangu waliopo shuleni,vyuoni na mtaanii..je ni…
FURSA KUTOKANA NA MAZAO YA UVUVI
Wadau nimeona ni vyema nikawashirikisha nanyi kuitazama na kuwasikiliza watoa mada katika video inayopatikana kwenye link ifuatayo; Uchakataji wa mazao ya Uvuvi Dagaa wanao kaushwa kwa njia ya Jua katika…
Njia tofauti za kufuga kuku. Faida zake Na Hasara Zake
Mambo yanayomfanya mfugaji kuamua atumie njia fulani ya kufuga ni pamoja na uwezo wa kugharamia shughuli ya ufugaji wa kuku na ukubwa wa eneo alilonalo la kufugia. Katika sehemu hii…
DALILI ZA JUMLA ZA KUKU
Magonjwa ya kuku kwa ujumla yapo mengi sana na kuna baadhi ya magonjwa ambayo hayapo hapa nchini,ni vyema kujua dalili hizi za magonjwa mapema ili kuepusha hasara inayoweza kutokea kutokana…
Uchimbaji wa Mabwawa ya ufugaji wa samaki kibiashara
Ndugu Mdau wa Ukurasa huu, ninayo furaha kukushirikisha kuitizama Video hii ujionee jinsi ambavyo wadau wengine wamehamasika katika tasnia hii ya ufugaji samaki kibiashara. Video hiyo utaipata kwa link ifuatayo…
Mtaji wa kufuga kuku wa kienyeji, mchanganuo wake na namna ya kupata soko
Mchanganuo Pengine umekuwa ukiwaza sana nini ufanye ili uweze kufanikiwa na kuondokana na adha za umaskini. Yako mambo mengi ya kufanya mimi nataka kukufungua macho kwa jambo moja tu tena…
Ratiba ya Chakula kwa Kuku wa Kienyeji na Chotara
Kuku chotara/kienyeji hufungwa kwa matumizi ya kutaga mayai na pia kwa nyama.Mfugaji atachagua aina na mfumo wa chakula kutokana na yeye anafuga kuku hawa kwa matumizi gani. Ili kuku wafugwe…
MIFUMO MBALIMBALI YA UFUGAJI WA KUKU WA KIENYEJI.
A. MFUMO HURIA Katika mfumo huu kuku huachiwa wakitembea toka asubuhi wakijitafutia chakula na maji na kufungiwa kwenye vibanda visivyo rasmi wakati wa usiku. Huu ni mfumo rahisi lakini si…
ANZISHA MRADI WAKO WA KUFUGA KUKU LEO
MAHITAJI Kuku(tetea) 10 na Jogoo 01 Banda bora Vyombo vya chakula na maji Chakula bora Madawa na chanjo kwajili ya magonjwa Chanzo cha nishati joto na mwanga Elimu na ujuzi…
Ni rahisi sana kutunza kuku wa kienyeji: jifunze namna ya kuwatunza kuku wa kienyeji.
Unaweza kutunza kuku wa kienyeji na ukawa na kipato cha uhakika, pamoja na lishe nzuri kwa ajili ya familia. Ulishaji: Kuku wa kienyeji wanaweza kulishwa kwa kumia mahindi, mchele, na…
MAFUNZO KWA VITENDO
SIFA ZA JOGOO NA TETEA BORA 1. SIFA ZA JOGOO BORA Awe na umbo kubwa Awe na ukiko nzuri usioangukia upande mmoja Awe mchangamfu Apende kuwa na himaya yake. Sifa…
Dalili za jumla za magonjwa ya kuku…soma hapa kujua dalili hizo..
Magonjwa ya kuku kwa ujumla yapo mengi sana na kuna baadhi ya magonjwa ambayo hayapo hapa nchini,ni vyema kujua dalili hizi za magonjwa mapema ili kuepusha hasara inayoweza kutokea kutokana…
Unawezaje Kutengeneza Bwawa la Kufugia Samaki?
Zipo namna mbalimbali za utengenezaji wa bwawa la samaki, kulingana na aina ya bwawa lenyewe. Aina ya bwawa la kufugia samaki. Bwawa la kuchimba udongo bila kujengea “Earthen Pond” ambalo…
NJIA BORA ZA UTUNZAJI WA MAYAI YA KUKU
Kwa kawaida kuku huanza kutetea(Kutoa mlio wa ishara ya kutaga) anapofikisha miezi sita hadi minane. Hivyo ni vyema viota viandaliwe mapema wakiwa na umri wa miezi mitano. Kuku anapoanza kutaga…
FAHAMU SIFA ZA BANDA BORA LA KUKU
Sifa za banda bora la Kuku Ukiamua kufuga katika banda kwa njia mbili zilizoelezwa awali utatakiwa kujenga banda lenye sifa zitakazokidhi mahitaji ya msingi ya kuku. Banda bora la kuku…
Zifahamu taratibu na ratiba za uchanjaji wa kuku kuanzia vifaranga na kuku wakubwa
TARATIBU NA RATIBA ZA UCHANJAJI Wakati wa kutayarisha mpango wa kuchanja kuku kwa ajili ya kinga dhidi ya magonjwa, kuna vipengele vikuu sita Ambavyo unatakiwa uvifahamu na kuvizingatia. Vipengele hivyo…