APP MPYA YA UFUGAJI BORA ILIYOBORESHWA NA LINK YA KUNDI TELEGRAM
1. KIUNGANISHI: APP YA UFUGAJI BORA 2. KUNDI LA KILIMO NA MIFUGO TELEGRAM JIUNGE KUPITIA...
DAWA ZINAZOTKANA NA MIMEA SHAMBA ZIMEONYESHA UWEZO MKUBWA WA KUTIBU UGONJWA WA KOKSIDIOSIS
Koksidiosis (coccidiosis) ni ugonjwa unaoshambulia kuku na mifugo mingine kama ng’ombe, mbuzi na kondoo kusbabisha...
MWONGOZO WA UFUGAJI WA KUKU WA NYAMA/BROILERS
Imeandikwa naGREYSON KAHISEMtaalamu wa kuku07697997280788011560 Biashara ya kuku imejikita katika uwanja mpana sana kwa kutegemea...
UFUGAJI WA KUKU WA KIENYEJI TANGU VIFARANGA HADI KUKU WAKUBWA
Kaya nyingi hapa nchini hujihusisha na ufugaji wa kuku kwa lengo la kujipatia chakula na...
UDHIBITI NA TIBA DHIDI YA MAGONJWA YA KUKU WA KIENYEJI
Kuku wanaopata lishe bora, kutunzwa vizuri na kupatiwa chanjo dhidi ya magonjwa yanayotokea mara kwa...
Прогнозы И Ставки на Спорт На следующее От Профессионалов нежелающим Спорт-экспресс
В любой легальной БК регистрация занявшее до 10 полугода. После этого затем можно выбирать событие,...
FAHAMU DALILI ZA UGONJWA WA MAFUA MAKALI YA NDEGE
Huu ni ugonjwa hatari sana kwa kuku na jamii nyingine za ndege pia hupata binadamu...
JIFUNZE NAMNA BORA YA KUPAMBANA NA MLIPUKO WA HOMA YA NGURUWE
Mlipuko wa homa ya nguruwe umekuwa ukijitokeza karibu kila mwaka ndani ya nchi yetu kwa...
NAMNA YA KUJUA VIINI LISHE VILIVYOMO CONTENT YA CHAKULA (%)
Kwa kawaida mwili unahitaji vitu vikuu kama vitano kwenye chakula Nishati au energy Protein Vitamin...
JE WAJUA MAGONJWA MUHIMU YA YANAYOSUMBUA KUKU
UGONJWA WA MDONDO/KIDERI (NEWCASTLE DISEASE) Ugonjwa huu huathiri kuku katika umri wowote na unapoingia...
JINSI YA KUTENGENEZA SEHEMU YA KULELEA VIFARANGA/ BROODER
MAANDALIZI YA SEHEMU YA KULELE VIFARANGA/ BROODING AREA 👆Brooder (kinengunengu), hii ni sehemu ya...
UFUGAJI WA SUNGURA
Na Rubaba Imani UTANGULIZI Kama mnyama yeyote sungura anahitaji utunzaji mwema ili waweze kuzalisha...
KUHARISHA DAMU KWA KUKU (COCCIDIOSIS):
–Tukizungumzia kuku ni ufugaji wenye faida sana kama ukizingatia utaratibu wa ufugaji, na magonjwa ni...
SULUHISHO LA UTITIRI NA VIROBOTO KATIKA BANDA LA KUKU NA MIFUGO MINGINO
Viroboto na utitiri vinaweza kudhibitiwa kwa kutumia dawa ya asili na dawa za viwandani. Dawa...
WAJUE KUKU AINA YA KUROILER NA SIFA UNAZOTAKIWA KUZIFAHAMU
Kuroiler ni mchanganyiko wa kuku wa aina mbili. Ni mchanganyiko wa Jogoo wa broiler (Kutoka...
BIOSECURITY KATIKA UFUGAJI WA KUKU: SEHEMU YA PILI
SEHEMU YA KWANZA SOMA HAPA KANUNI ZA KUFUATA UPANDE WA BIOSECURITY YA KUKU KILA SIKU...
UTAJUAJE KAMA MAYAI YA KUKU YATAANGULIWA?
Na Augustino Chengula Ni jambo jema kufahamu kama mayai yanayo atamiwa na kuku wako...
MUHTASARI WA UFUGAJI KUKU
1: Maandalizi ya banda la kuku Fagia, deki kwa maji, pulizia dawa/disinfection (Th4, V rid,Farm...
HATUA ZA KUFUATA ILI KUANZISHA MRADI WA KUKU
👆Kutokana na wengi sana kunitafuta kuomba ushauri, hasa wafugaji wageni au wapya wanao anza kwamba...
DHIBITI UBORA WA CHAKULA CHA SAMAKI KUPUNGUZA GHARAMA
Chakula cha samaki ni moja ya mahitaji muhimu yanayotumia gharama kubwa katika ufugaji wa samaki....
BIOSECURITY KATIKA UFUGAJI WA KUKU: SEHEMU YA KWANZA
UTANGULIZI a) Maana ya Biosecurity Ni hatua zinazochukuliwa kuzuia au kudhibiti upenyezaji na kusambaa kwa...
You must be logged in to post a comment.