SEMINA JUU YA USALAMA WA MAZINGIRA YA KUFUGIA SAMAKI NA MAGONJWA YA SAMAKI

[ad_1]

Pichani chini ni Washiriki wa Semina ya Usalama wa Mazingira ya Kufugia Samaki na Magonjwa, Zaidi ya Mameneja kumi kutoka mashamba mbalimbali ya samaki likiwemo shamba la EDEN AGRI-AQUA CO.LTD walishiriki.

Kaimu Katibu Mkuu sekta ya Uvuvi Dr. Erasto Mosha alifungua Semina hiyo na kuwaasa washiriki kuzingatia kitakachofundishwa kwakuwa Ufugaji wa Samaki ni biashara inayolipa hapa nchini.

 

[ad_2]

Source link

Leave a Reply