HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2020/21
Waziri wa fedha na mipango, Mheshimiwa Philip I. Mpango (MB) kupitia hotuba yake iliyowasilishwa bungeni kuhusu makadirio ya mapato na matumizi ya serikali kwa mwaka 2020/2021 imerekebisha ad ana tozo mbalimbali katika sekta za Mifugo na uvivi. Lengo la marekebisho hayo ni kujenga nazingira rafiki kwa wafanyabiashara kwenye sekta ya mifugo na uvuvi kama ilivyo ainishwa hapa chini.
(a) Sekta ya Mifugo
Marekebisho kwenye tozo mbalimbali za Sekta ya Mifugo yamependekezwa kama ifuatavyo:
(i) kufuta tozo ya kibali cha kusafirisha ngozi ndani na nje ya wilaya iliyokuwa ikitozwa shilingi elfu tano (5000/=) kwa kibali; na
(ii) Kupunguza tozo mbalimbali kwenye sekta ya mifugo na mazao kama zilivyoanishwa kwenye Jedwali Na 2 na Na.3: –
Jedwali Na. 2: Tozo za Vibali vya Kusafirisha Mifugo na Mazao Yake kwenda Nje ya Nchi (shilingi)
Na. |
Aina ya Mfugo/Zao |
Kipimo |
Tozo za Zamani |
Tozo Pendekezwa |
1 |
Ng’ombe |
Kila mmoja |
30,000 |
25,000 |
2 |
Kondoo/Mbuzi |
Kila mmoja |
7,500 |
5,000 |
3 |
Nyama ya ng’ombe |
Kilo moja |
150 |
100 |
4 |
Chakula cha wanyama |
Tani |
20,000 |
10,000 |
5 |
Mayai ya kula |
Trei 1 (mayai 30) |
1,000 |
100 |
Jedwali Na. 3: Tozo za Vibali vya Kuingiza Mifugo na Mazao yake ndani ya Nchi (shilingi)
Na. |
Aina ya Mfugo/Zao |
Kipimo |
Tozo za zamani |
Tozo mpya |
1 |
Punda |
Kila mmoja |
10,000 |
5,000 |
2 |
Ngamia |
Kila mmoja |
10,000 |
5,000 |
3 |
Nyama ya ng’ombe |
Kilo moja |
5,000 |
4,000 |
4 |
Chakula cha wanyama |
Tani |
20,000 |
10,000 |
(iii) Kuongeza tozo mbalimbali kwenye sekta ya mifugo kama zilivyoainishwa kwenye Jedwali Na 4 na 5 ili kuhuisha tozo hizo kulingana na hali ya sasa ya thamani ya fedha;
Jedwali Na. 4: Tozo za Vibali vya Kusafirisha Mifugo na Mazao yake kwenda Nje ya Nchi (shilingi)
Na. |
Aina ya Mfugo/Zao |
Kipimo |
Tozo za Zamani |
Tozo Pendekezwa |
1 |
Farasi |
Kila mmoja |
30,000 |
50,000 |
2 |
Mbwa/paka |
Kila mmoja |
20,000 |
50,000 |
3 |
Ngamia |
Kila mmoja |
30,000 |
50,000 |
4 |
Wanyama pori |
Kila mmoja |
30,000 |
50,000 |
5 |
Mbegu |
Kwa mrija |
1,000 |
2,000 |
Jedwali Na. 5: Tozo za Vibali vya Kuingiza Mifugo na Mazao yake ndani ya Nchini (shilingi)
Na. |
Aina ya Mfugo/Zao |
Kipimo |
Tozo za zamani |
Tozo Pendekezwa |
1 |
Farasi |
Kila mmoja |
10,000 |
50,000 |
2 |
Mbwa/paka |
Kila mmoja |
30,000 |
50,000 |
3 |
Mayai ya kula |
Trei (Mayai 30) |
2,500 |
5,000 |
(iv) Kuongeza ada ya kutunza mbuzi au kondoo kwenye vituo vya karantini, kupumzishia mifugo na ukaguzi kwa kila mmoja kutoka shilingi mia mbili (200/) hadi shilingi mia tano (500);
(v) Kutoza tozo mpya za vibali vya kusafirisha nje ya nchi na kuingiza ndani ya nchi mifugo na mazao yake kama ilivyoainishwa kwenye Kiambatisho Na. 5
(vi) Kutoza shilingi elfu ishirini (20,000/=) kwa kibali cha kusafirisha pembe za ng’ombe, mbuzi na kondoo pamoja na kwato na mifupa ndani na nje ya Wilaya;
(vii) Kutoza shilingi elfu tano 5,000/= kwa kila kibali cha kusafirisha chakula cha Wanyama ndani na nje ya Wilaya;
(viii) Kutoza kibali kwa ajili ya huduma kwa mifugo na mazao yake wanaopita nchini kwenda nchi nyingine kama zilivyoainishwa kwenye Kiambatisho Na. 6.
(b) Sekta ya Uvuvi
Mapendekezo ya kufuta tozo mbalimbali kwenye Sekta ya Uvuvi yametolewa kama ifuatavyo:
(i) Kufuta tozo ya mrabaha wa dola za Marekani
0.4 kwa kilo ya samaki katika uvuvi wa bahari kuu;
(ii) Kupunguza ada za leseni ya kuuza samaki na mazao ya uvuvi yanayovuliwa kwenye maji baridi (maziwa, mabwawa na mito) nje ya nchi kama zilivyoainisha kwenye Jedwali Na. 6.
Jedwali Na: 6: Mapendekezo ya Kupunguza Ada ya Leseni ya kuuza Samaki na Mazao ya Uvuvi yanayovuliwa kwenye Maji baridi Nje ya Nchi (US$)
Na |
Aina ya samaki/zao |
Raia wa Tanzania (USD) |
Raia wa kigeni (USD) |
||||
Mwekezaji mdogo |
Mwekezaji mkubwa |
Mwekezaji Mkubwa |
|||||
Tozo ya sasa |
Tozo Pendekezw a |
Tozo ya sasa |
Tozo Pendekezwa |
Tozo ya Sasa |
Tozo Pendekezwa |
||
1 |
Sangara mzima ama aliyeondolewa kichwa na |
2000 |
1,000 |
2200 |
1,200 |
Hairuhusiwi |
2,500 |
2 |
Minofu ya samaki |
1000 |
Hairuhusiwi |
Hairuhusiwi |
1,000 |
Hairuhusiwi |
2,500 |
3 |
Dagaa wakavu na furu wa Ziwa Victoria |
1,000 |
250 |
1,700 |
500 |
Hairuhusiwi |
2,000 |
4 |
Sangara wakavu na samaki wengine wakavu kutoka katika maji ya asili |
500 |
500 |
700 |
700 |
Hairuhusiwi |
2,000 |
5 |
Ngozi ya Samaki |
1,000 |
750 |
1,200 |
1,000 |
2,000 |
2,000 |
6 |
Mabondo yaliyogandishwa na makavu |
2,500 |
1,200 |
2,700 |
1,500 |
Hairuhusiwi |
5,000 |
7 |
Vichwa vya Samaki na Vifua |
1,000 |
750 |
1,200 |
1,000 |
Hairuhusiwi |
2,000 |
8 |
Vyakula vya Samaki na Mafuta ya Samaki |
1,000 |
500 |
1,200 |
1,000 |
Hairuhusiwi |
2,000 |
9 |
Samaki waliokaushwa (Kayabo/Ng’onda) |
1,000 |
750 |
1,200 |
1,000 |
Hairuhusiwi |
2,000 |
10 |
Samaki wa mapambo |
1,000 |
1,000 |
1,200 |
1,200 |
Hairuhusiwi |
Hairuhusiwi |
11 |
Dagaa wakavu Ziwa Tanganyika |
1,500 |
250 |
1,800 |
500 |
Hairuhusiwi |
2,500 |
12 |
Samaki aina ya Migebuka waliokaushwa, wabishi na waliogandishwa |
800 |
400 |
1,000 |
500 |
Hairuhusiwi |
2,000 |
13 |
Dagaa wakavu wa Ziwa Nyasa |
1,000 |
250 |
1,200 |
500 |
Hairuhusiwi |
2,000 |
(iii) Kupunguza ada za leseni ya kuuza samaki na mazao ya uvuvi yanayovuliwa kwenye maji chumvi (bahari) nje ya nchi kama zilivyoainisha kwenye Jedwali Na. 7.
Jedwali Na. 7: Mapendekezo ya Kupunguza ada ya Leseni ya kuuza Samaki na Mazao ya Uvuvi yanayovuliwa kwenye Maji chumvi Nje ya Nchi (USD)
Na |
Aina ya samaki/zao |
Raia wa Tanzania (USD) |
Raia wa kigeni (USD) |
||||
Mwekezaji mdogo |
Mwekezaji mkubwa |
Mwekezaji Mkubwa |
|||||
Tozo ya sasa |
Tozo Pendekezwa |
Tozo ya sasa |
Tozo Pendekezwa |
Tozo ya Sasa |
Tozo Pendekezwa |
||
1 |
Pweza waliogandishwa |
2500 |
500 |
2700 |
1,000 |
5001 |
2,000 |
2 |
Kamba Kochi Hai |
2,500 |
500 |
2,700 |
1,000 |
500 |
Hairusiwi |
3 |
Kamba Kochi mzima aliyegandishwa |
2500 |
500 |
2700 |
1000 |
5000 |
2500 |
4 |
Kamba Kochi aliyeondoliwa kichwa na kugandishwa |
2500 |
500 |
2700 |
1000 |
5000 |
2500 |
5 |
Kaa hai |
2500 |
500 |
2700 |
1000 |
5000 |
Haruhusiwi |
7 |
Kaa aliyegandishwa |
2500 |
500 |
2700 |
1000 |
5000 |
2500 |
8 |
Kamba miti walioondolewa vichwa na kugandishwa |
2500 |
500 |
2700 |
1,000 |
5000 |
2,500 |
9 |
Kamba miti walio na vichwa na kugandishwa |
2500 |
500 |
2700 |
1,000 |
5000 |
2,500 |
10 |
Ngisi waliogandishwa |
2500 |
500 |
2700 |
1,000 |
5002 |
2,000 |
11 |
Makome ya Baharini |
500 |
300 |
700 |
350 |
1000 |
Hairuhusiwi |
12 |
Simbi |
500 |
300 |
700 |
350 |
1001 |
Hairuhusiwi |
13 |
Dagaa wa Maji chumvi waliokaushwa |
1000 |
250 |
1200 |
500 |
Hairuhusiwi |
2000 |
14 |
Mazao mengineyo |
1500 |
750 |
1700 |
1000 |
|
2000 |
(iv) Kupunguza tozo za mrabaha wa kusafirisha samaki nje ya nchi kama ilivyoainishwa kwenye Kiambatisho Na. 7.
(v) Kuongeza ada ya leseni ya kuuza Mapezi
/taya za papa nje ya nchi kutoka dola za kimarekani 2,700 hadi dola za kimarekani 5,000 kwa ajili ya kuendelea kuhifadhi papa na jamii zake ambao wako hatarini kutoweka;
(vi) Kutoza ada ya leseni ya kusafirisha aina nyingine ya mabondo na makome nje ya nchi kama ilivyoainishwa kwenye Jedwali Na. 8.
Jedwali Na 8: Mapendekezo ya Kutoza Ada ya Leseni ya Kusafirisha Samaki na Mazao Yake Nje
|
||||
Na. |
|
Raia |
Mgeni |
|
Mfanyabiashara mdogo (US$) |
Mfanyabiashara mkubwa (US$) |
Mfanyabiashara mkubwa (US$) |
||
1 |
Aina nyingine ya mabondo |
300 |
500 |
2500 |
2 |
Makome (nyumba za konokono) |
300 |
350 |
Hairuhusiwi |
(vii) Kutoza ada ya cheti cha afya ya samaki na mazao yake yanayosafirishwa nje ya nchi (QA/APP/02) shilingi 30,000/= kwa ajili ya kukidhi matakwa ya soko la nje na afya ya mlaji;
(viii) Kutoza tozo za vibali vipya vya kusafirisha samaki na mazao yake kama ilivyoainishwa kwenye Jedwali Na. 9 kwa ajili ya kuendeleza uhifadhi wa mazao hayo.
Jedwali Na. 9: Mapendekezo ya Kutoza vibali vipya vya kusafirisha samaki na mazao yake
Na. |
Aina ya Samaki/Zao |
Idadi |
Tozo Pendekezwa (Shilingi) |
1 |
Kaa hai |
Kilo moja |
100 |
2 |
Kamba kochi hai |
Kilo moja |
100 |
3 |
Samaki hai wa mapambo waliokamatwa maji ya asili |
Kipande kimoja |
200 |
VIAMBATISHO
Kiambatisho Na.5
Mapendekezo ya Tozo Mpya za Vibali vya Kusafirisha Nje ya Nchi na Kuingiza Ndani ya Nchi Mifugo na Mazao (shilingi)
Na. |
Aina ya Mfugo/Zao |
Kipimo |
Kuingiza ndani ya Nchi |
Kusafirisha nje ya Nchi |
1 |
Sungura |
Kila mmoja |
500 |
5,000 |
2 |
Mbegu zilizochambuliwa kijinsia |
Mrija |
2,000 |
2,000 |
3 |
Sampuli za kibailojia |
Kwa kibali |
5,000 |
100,000 |
4 |
Nyama ya kondoo/mbuzi |
Kilo moja |
4,000 |
50 |
5 |
Nyama ya nguruwe |
Kilo moja |
4,000 |
20 |
6 |
Nyama ya Wanyama pori |
Kilo moja |
4,000 |
500 |
7 |
Nyama ya punda |
Kilo moja |
5,000 |
1,000 |
8 |
Soseji |
Kilo moja |
4,000 |
50 |
9 |
mjeledi/misuli |
Kilo moja |
150 |
150 |
10 |
Bidhaa zingine za nyama |
Kilo moja |
1,000 |
150 |
11 |
Vifungashio vya soseji |
Kibali |
50,000 |
0 |
Na. |
Aina ya Mfugo/Zao |
Kipimo |
Kuingiza ndani ya Nchi |
Kusafirisha nje ya Nchi |
12 |
Maziwa condensed |
Lita moja |
2000 |
100 |
13 |
Maziwa yaliyotolewa mafuta |
Lita moja |
2,000 |
100 |
14 |
Maziwa mtindi |
Lita moja |
2,000 |
50 |
15 |
Maziwa ya unga |
Kilo moja |
2,000 |
100 |
16 |
Jibini / siagi |
Kilo moja |
2,000 |
20 |
17 |
Nyongo |
Kibali |
100,000 |
300,000 |
18 |
Mbolea ya asili |
Tani moja |
5,000 |
5,000 |
19 |
Kemikali na vifaa vya maabara |
Kibali |
100,000 |
100,000 |
20 |
Kitotoleshi |
Kibali |
50,000 |
10,000 |
21 |
Vitamini/mawe ya madini/amino acids/ vyakula vilivyoongezewa virutubisho |
Tani moja |
10,000 |
10,000 |
22 |
Vifaa vya utambuzi hereni za sikoni) |
Kibali |
50,000 |
NIL |
23 |
Mawe ya kwenye nyongo |
Kibali |
10,0000 |
300,000 |
24 |
Kuongeza muda ya leseni ambayo imepita muda |
Kibali |
50,000 |
50,000 |
25 |
Mikojo ya |
Kibali |
5,000 |
5,000 |
Na. |
Aina ya Mfugo/Zao |
Kipimo |
Kuingiza ndani ya Nchi |
Kusafirisha nje ya Nchi |
|
wanyama |
|
|
|
26 |
Asali |
Kibali |
200,000 |
100,000 |
27 |
Mbwa na paka kwa ajili ya vinasaba kwa ajili ya utafiti |
Kila mmoja |
5,000 |
3,000 |
28 |
Kuku au ndege wafugwao kwa ajili ya vinasaba na utafiti |
Kila mmoja |
200 |
1,000 |
29 |
Wanyama kwa ajili ya mapambo |
Kibali |
20,000 |
20,000 |
Mapendekezo ya Kutoza Kibali kwa Ajili ya Huduma kwa Mifugo na Mazao Yake Wanaopita Nchini Kwenda Nje ya Nchi (shilingi)
S/N |
Aina ya Mfugo/zao |
Kipimo |
Tozo (Tshs) |
1 |
Ng’ombe |
Kila mmoja |
2,500 |
2 |
Kondoo/mbuzi |
Kila mmoja |
1,500 |
3 |
Nguruwe |
Kila mmoja |
1,500 |
4 |
Farasi / Mule / Punda |
Kila mmoja |
2,500 |
5 |
Mbwa/paka |
Kila mmoja |
1,000 |
6 |
Ngamia |
Kila mmoja |
2,500 |
7 |
Kuku / Kanga |
Kila mmoja |
200 |
8 |
Vifaranga |
100 |
1,000 |
9 |
Zaidi ya trei 100 za mayai ya kula |
Trei la mayai 30 |
500 |
10 |
Zaidi ya trei 10 za mayai ya kutotolea |
Kila mmoja |
1,000 |
11 |
Bata mzinga |
Kila mmoja |
1000 |
12 |
Kasuku/falcon/Mbuni |
Kila mmoja |
15,000 |
13 |
Ndege wa porini |
Kila mmoja |
500 |
14 |
Sungura |
Kila mmoja |
500 |
15 |
Vyura/ mijusi / wadudu |
Kibali |
20,000 |
16 |
Wanyama wa maabara |
Kibali |
30,000 |
17 |
Wanyama wa porini |
Kila mmoja |
1,000 |
18 |
Nyara za Serikali |
Kibali |
30,000 |
19 |
Nyama na mazao yake zaidi ya kilo 50 |
Kilo |
50 |
20 |
Soseji / nyama ya kusaga/ |
Kilo |
50 |
S/N |
Aina ya Mfugo/zao |
Kipimo |
Tozo (Tshs) |
|
bidhaa zingine za nyama |
|
|
21 |
Nyongo |
Kibali |
50,000 |
22 |
Korodani/tendons |
Kibali |
200,000 |
23 |
Maziwa |
Lita |
500 |
24 |
Mtindi |
Lita |
2,000 |
25 |
Maziwa ya unga |
Kilo |
4,000 |
26 |
Jibini / siagi |
Kilo |
2,000 |
27 |
Ngozi ya ng’ombe |
Kipande |
500 |
28 |
Ngozi ya mbuzi/kondoo |
Kipande |
100 |
29 |
Pembe za ng’ombe, Mbuzi, kondoo, kwato na mifupa |
Tani |
10,000 |
30 |
Manyoya / sufu |
Kibali |
20,000 |
31 |
Chakula cha wanyama |
Tone |
10,000 |
32 |
Mbolea ya kiboni |
Ton |
5,000 |
33 |
Embryos |
Each |
500 |
34 |
Semen |
Straws |
50 |
35 |
Specimen |
Permit |
20,000 |
36 |
Maunzi / vifaa vya maabara |
Permit |
300,000 |
37 |
Vifaa vya utambuzi (mfano hereni za sikioni) |
Permit |
200,000 |
Kiambatisho Na. 7
Mapendekezo ya Kupunguza Tozo za Mrabaha wa kusafirisha samaki nje
No. |
Aina ya Samaki/Zao |
Tozo ya Sasa (US$) |
Tozo Pendekezwa (US$) |
|||
1 |
Minofu ya samaki |
0.24 |
0.2 |
|||
2 |
Sangara aliyetolewa kichwa na matumbo |
0.25 |
0.21 |
|||
3 |
Sangara nzima aliyetolewa matumbo |
|
0.25 |
|||
4 |
Ngozi ya samaki |
|
0.15 |
|||
5 |
Dagaa-Victoria |
0.2 |
0.16 |
|||
6 |
Dagaa-Tanganyika |
1 |
0.5 |
|||
7 |
Dagaa-Nyasa |
0.3 |
0.16 |
|||
8 |
Furu waliokaushwa |
0.16 |
0.16 |
|||
9 |
Samaki wakavu |
0.3 |
0.3 |
|||
10 |
Kayabo, Ng’onda |
|
0.3 |
|||
11 |
Migebuka wabichi |
0.5 |
0.3 |
|||
12 |
Migebuka wakavu |
0.4 |
0.2 |
|||
13 |
Vipande sangara |
vya |
minofu |
ya |
0.24 |
0.2 |
14 |
Sangara Wakavu |
0.3 |
0.2 |
|||
15 |
Makome ya Baharini |
|
0.075 |
|||
16 |
Kamba miti wasiokuwa na vichwa |
|
0.9 |
|||
17 |
Kamba miti wenye vichwa |
|
1.2 |
|||
18 |
Aina ya samaki wengine |
1 |
0.2 |
|||
19 |
Makome ya Maji baridi |
|
0.01 |
20 |
Makome (Nyumba za Konokono) |
|
0.3 |
21 |
Mabondo mabichi |
5% ya bei ya soko |
4% ya bei ya soko |
22 |
|