ADA NA TOZO MBALIMBALI ZA SEKTA YA MIFUGO NA UVUVI ZAREKEBISHWA KUBORESHA MAZINGIRA YA KUFANYA BIASHARA

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2020/21

 

Waziri wa fedha na mipango, Mheshimiwa Philip I. Mpango (MB) kupitia hotuba yake iliyowasilishwa bungeni kuhusu makadirio ya mapato na matumizi ya serikali kwa mwaka 2020/2021 imerekebisha ad ana tozo mbalimbali katika sekta za Mifugo na uvivi. Lengo la marekebisho hayo ni kujenga nazingira rafiki kwa wafanyabiashara kwenye sekta ya mifugo na uvuvi kama ilivyo ainishwa hapa chini.

 

(a)                        Sekta ya Mifugo

 

Marekebisho kwenye tozo mbalimbali za Sekta ya Mifugo yamependekezwa kama ifuatavyo:

(i)        kufuta tozo ya kibali cha kusafirisha ngozi ndani na nje ya wilaya iliyokuwa ikitozwa shilingi elfu tano (5000/=) kwa kibali; na

 

(ii)      Kupunguza tozo mbalimbali kwenye sekta ya mifugo na mazao kama zilivyoanishwa kwenye Jedwali Na 2 na Na.3:


Jedwali Na. 2: Tozo za Vibali vya Kusafirisha Mifugo na Mazao Yake kwenda Nje ya Nchi (shilingi)

Na.

Aina                    ya

Mfugo/Zao

Kipimo

Tozo za Zamani

Tozo Pendekezwa

1

Ng’ombe

Kila

mmoja

30,000

25,000

2

Kondoo/Mbuzi

Kila mmoja

7,500

5,000

3

Nyama ya

ng’ombe

Kilo moja

150

100

4

Chakula cha wanyama

Tani

20,000

10,000

5

Mayai ya kula

Trei 1

(mayai 30)

1,000

100

 

Jedwali Na. 3: Tozo za Vibali vya Kuingiza Mifugo na Mazao yake ndani ya Nchi (shilingi)

Na.

Aina                 ya Mfugo/Zao

Kipimo

Tozo           za zamani

Tozo mpya

1

Punda

Kila mmoja

10,000

5,000

2

Ngamia

Kila mmoja

10,000

5,000

3

Nyama                 ya

ng’ombe

Kilo moja

5,000

4,000

4

Chakula               cha wanyama

Tani

20,000

10,000


(iii)    Kuongeza tozo mbalimbali kwenye sekta ya mifugo kama zilivyoainishwa kwenye Jedwali Na 4 na 5 ili kuhuisha tozo hizo kulingana na hali ya sasa ya thamani ya fedha;

 

Jedwali Na. 4: Tozo za Vibali vya Kusafirisha Mifugo na Mazao yake kwenda Nje ya Nchi (shilingi)

 

 

Na.

Aina ya

Mfugo/Zao

Kipimo

Tozo za

Zamani

Tozo

Pendekezwa

1

Farasi

Kila

mmoja

30,000

50,000

2

Mbwa/paka

Kila

mmoja

20,000

50,000

3

Ngamia

Kila

mmoja

30,000

50,000

4

Wanyama

pori

Kila

mmoja

30,000

50,000

5

Mbegu

Kwa

mrija

1,000

2,000


Jedwali Na. 5: Tozo za Vibali vya Kuingiza Mifugo na Mazao yake ndani ya Nchini (shilingi)

Na.

Aina ya

Mfugo/Zao

Kipimo

Tozo za

zamani

Tozo

Pendekezwa

1

Farasi

Kila

mmoja

10,000

50,000

2

Mbwa/paka

Kila

mmoja

30,000

50,000

3

Mayai ya kula

Trei (Mayai

30)

2,500

5,000

 

(iv)     Kuongeza ada ya kutunza mbuzi au kondoo kwenye vituo vya karantini, kupumzishia mifugo na ukaguzi kwa kila mmoja kutoka shilingi mia mbili (200/) hadi shilingi mia tano (500);

 

(v)       Kutoza tozo mpya za vibali vya kusafirisha nje ya nchi na kuingiza ndani ya nchi mifugo na mazao yake kama ilivyoainishwa kwenye Kiambatisho Na. 5

 

(vi)     Kutoza shilingi elfu ishirini (20,000/=) kwa kibali cha kusafirisha pembe za ng’ombe, mbuzi na kondoo pamoja na kwato na mifupa ndani na nje ya Wilaya;


(vii)   Kutoza shilingi elfu tano 5,000/= kwa kila kibali cha kusafirisha chakula cha Wanyama ndani na nje ya Wilaya;

 

(viii)  Kutoza kibali kwa ajili ya huduma kwa mifugo na mazao yake wanaopita nchini kwenda nchi nyingine kama zilivyoainishwa kwenye Kiambatisho Na. 6.

 

(b)                      Sekta ya Uvuvi

 

Mapendekezo ya kufuta tozo mbalimbali kwenye Sekta ya Uvuvi yametolewa kama ifuatavyo:

(i)         Kufuta tozo ya mrabaha wa dola za Marekani

0.4 kwa kilo ya samaki katika uvuvi wa bahari kuu;

 

(ii)       Kupunguza ada za leseni ya kuuza samaki na mazao ya uvuvi yanayovuliwa kwenye maji baridi (maziwa, mabwawa na mito) nje ya nchi kama zilivyoainisha kwenye Jedwali Na. 6.


Jedwali Na: 6: Mapendekezo ya Kupunguza Ada ya Leseni ya kuuza Samaki na Mazao ya Uvuvi yanayovuliwa kwenye Maji baridi Nje ya Nchi (US$)

 

 

Na

Aina ya samaki/zao

Raia wa Tanzania (USD)

Raia wa kigeni (USD)

Mwekezaji mdogo

Mwekezaji mkubwa

Mwekezaji Mkubwa

Tozo ya sasa

Tozo Pendekezw

a

Tozo ya sasa

Tozo Pendekezwa

Tozo ya Sasa

Tozo Pendekezwa

1

Sangara                   mzima ama aliyeondolewa

kichwa                         na

2000

1,000

2200

1,200

Hairuhusiwi

2,500

2

Minofu ya samaki

1000

Hairuhusiwi

Hairuhusiwi

1,000

Hairuhusiwi

2,500

3

Dagaa wakavu na

furu     wa            Ziwa Victoria

1,000

250

1,700

500

Hairuhusiwi

2,000

4

Sangara wakavu na samaki                 wengine

wakavu      kutoka

katika maji ya asili

500

500

700

700

Hairuhusiwi

2,000

5

Ngozi ya Samaki

1,000

750

1,200

1,000

2,000

2,000

6

Mabondo yaliyogandishwa na

makavu

2,500

1,200

2,700

1,500

Hairuhusiwi

5,000

7

Vichwa vya Samaki

na Vifua

1,000

750

1,200

1,000

Hairuhusiwi

2,000

8

Vyakula                       vya

Samaki na Mafuta ya Samaki

1,000

500

1,200

1,000

Hairuhusiwi

2,000

9

Samaki waliokaushwa

(Kayabo/Ng’onda)

1,000

750

1,200

1,000

Hairuhusiwi

2,000

10

Samaki                        wa

mapambo

1,000

1,000

1,200

1,200

Hairuhusiwi

Hairuhusiwi

11

Dagaa wakavu Ziwa

Tanganyika

1,500

250

1,800

500

Hairuhusiwi

2,500

12

Samaki   aina               ya Migebuka waliokaushwa, wabishi                  na

waliogandishwa

800

400

1,000

500

Hairuhusiwi

2,000

13

Dagaa wakavu wa

Ziwa Nyasa

1,000

250

1,200

500

Hairuhusiwi

2,000


(iii)    Kupunguza ada za leseni ya kuuza samaki na mazao ya uvuvi yanayovuliwa kwenye maji chumvi (bahari) nje ya nchi kama zilivyoainisha kwenye Jedwali Na. 7.

 

Jedwali Na. 7:  Mapendekezo ya Kupunguza ada ya Leseni ya kuuza Samaki na Mazao ya Uvuvi yanayovuliwa kwenye Maji chumvi Nje ya Nchi (USD)

 

Na

 

Aina                         ya

samaki/zao

Raia wa Tanzania (USD)

Raia wa kigeni (USD)

Mwekezaji mdogo

Mwekezaji mkubwa

Mwekezaji Mkubwa

Tozo ya

sasa

Tozo

Pendekezwa

Tozo             ya

sasa

Tozo

Pendekezwa

Tozo                     ya

Sasa

Tozo

Pendekezwa

 

1

Pweza waliogandishwa

2500

500

2700

1,000

5001

2,000

2

Kamba                   Kochi

Hai

2,500

500

2,700

1,000

500

Hairusiwi

 

3

Kamba                   Kochi mzima

aliyegandishwa

2500

500

2700

1000

5000

2500

 

4

Kamba                   Kochi aliyeondoliwa kichwa                          na

kugandishwa

2500

500

2700

1000

5000

2500

5

Kaa hai

2500

500

2700

1000

5000

Haruhusiwi

7

Kaa

aliyegandishwa

2500

500

2700

1000

5000

2500

 

8

Kamba                      miti walioondolewa vichwa                                 na

kugandishwa

2500

500

2700

1,000

5000

2,500

 

9

Kamba miti walio na vichwa na

kugandishwa

2500

500

2700

1,000

5000

2,500

 

10

Ngisi waliogandishwa

2500

500

2700

1,000

5002

2,000

11

Makome                         ya

Baharini

500

300

700

350

1000

Hairuhusiwi

12

Simbi

500

300

700

350

1001

Hairuhusiwi

 

13

Dagaa wa Maji chumvi

waliokaushwa

1000

250

1200

500

Hairuhusiwi

2000

14

Mazao mengineyo

1500

750

1700

1000

 

2000


(iv)     Kupunguza tozo za mrabaha wa kusafirisha samaki nje ya nchi kama ilivyoainishwa kwenye Kiambatisho Na.  7.

 

(v)       Kuongeza ada ya leseni ya kuuza Mapezi

/taya za papa nje ya nchi kutoka dola za kimarekani 2,700 hadi dola za kimarekani 5,000 kwa ajili ya kuendelea kuhifadhi papa na jamii zake ambao wako hatarini kutoweka;

 

(vi)     Kutoza ada ya leseni ya kusafirisha aina nyingine ya mabondo na makome nje ya nchi kama ilivyoainishwa kwenye Jedwali Na. 8.

 

Jedwali Na 8: Mapendekezo ya Kutoza Ada ya Leseni ya Kusafirisha Samaki na Mazao Yake Nje

 

 

 

 

Na.

 

Raia

Mgeni

Mfanyabiashara

mdogo (US$)

Mfanyabiashara

mkubwa (US$)

Mfanyabiashara

mkubwa (US$)

1

Aina             nyingine

ya mabondo

300

500

2500

 

2

Makome

(nyumba                  za konokono)

 

300

 

350

 

Hairuhusiwi


(vii)   Kutoza ada ya cheti cha afya ya samaki na mazao yake yanayosafirishwa nje ya nchi (QA/APP/02) shilingi 30,000/= kwa ajili ya kukidhi matakwa ya soko la nje na afya ya mlaji;

 

(viii) Kutoza tozo za vibali vipya vya kusafirisha samaki na mazao yake kama ilivyoainishwa kwenye Jedwali Na. 9 kwa ajili ya kuendeleza uhifadhi wa mazao hayo.

 

Jedwali Na. 9: Mapendekezo ya Kutoza vibali vipya vya kusafirisha samaki na mazao yake

 

 

Na.

Aina ya Samaki/Zao

Idadi

Tozo Pendekezwa

(Shilingi)

1

Kaa hai

Kilo moja

100

2

Kamba kochi hai

Kilo moja

100

3

Samaki       hai                  wa mapambo waliokamatwa maji ya

asili

Kipande kimoja

200

 

 

 

VIAMBATISHO

 

Kiambatisho Na.5

 

Mapendekezo ya Tozo Mpya za Vibali vya Kusafirisha Nje ya Nchi na Kuingiza Ndani ya Nchi Mifugo na Mazao (shilingi)

 

 

Na.

Aina ya Mfugo/Zao

Kipimo

Kuingiza ndani ya

Nchi

Kusafirisha nje ya Nchi

1

Sungura

Kila

mmoja

500

5,000

2

Mbegu

zilizochambuliwa kijinsia

Mrija

2,000

2,000

3

Sampuli za kibailojia

Kwa kibali

5,000

100,000

4

Nyama ya

kondoo/mbuzi

Kilo

moja

4,000

50

5

Nyama ya nguruwe

Kilo moja

4,000

20

6

Nyama ya Wanyama pori

Kilo moja

4,000

500

7

Nyama ya punda

Kilo moja

5,000

1,000

8

Soseji

Kilo

moja

4,000

50

9

mjeledi/misuli

Kilo

moja

150

150

10

Bidhaa  zingine            za

nyama

Kilo

moja

1,000

150

11

Vifungashio                       vya soseji

Kibali

50,000

0


 

Na.

Aina ya Mfugo/Zao

Kipimo

Kuingiza ndani ya

Nchi

Kusafirisha nje ya Nchi

12

Maziwa condensed

Lita

moja

2000

100

13

Maziwa yaliyotolewa

mafuta

Lita moja

 

2,000

 

100

14

Maziwa mtindi

Lita

moja

2,000

50

15

Maziwa ya unga

Kilo

moja

2,000

100

16

Jibini / siagi

Kilo moja

2,000

20

17

Nyongo

Kibali

100,000

300,000

18

Mbolea ya asili

Tani

moja

5,000

5,000

19

Kemikali  na               vifaa vya maabara

Kibali

100,000

100,000

20

Kitotoleshi

Kibali

50,000

10,000

21

Vitamini/mawe ya madini/amino acids/ vyakula vilivyoongezewa

virutubisho

Tani moja

 

 

10,000

 

 

10,000

22

Vifaa                       vya

utambuzi                   hereni za sikoni)

Kibali

 

50,000

 

NIL

23

Mawe   ya           kwenye nyongo

Kibali

10,0000

300,000

24

Kuongeza muda ya

leseni                 ambayo imepita muda

Kibali

 

50,000

 

50,000

25

Mikojo                         ya

Kibali

5,000

5,000


 

Na.

Aina ya Mfugo/Zao

Kipimo

Kuingiza ndani ya

Nchi

Kusafirisha nje ya Nchi

 

wanyama

 

 

 

26

Asali

Kibali

200,000

100,000

27

Mbwa na paka kwa ajili ya vinasaba kwa ajili

ya utafiti

Kila mmoja

 

5,000

 

3,000

28

Kuku au ndege wafugwao kwa ajili ya vinasaba na

utafiti

Kila mmoja

 

200

 

1,000

29

Wanyama kwa ajili ya mapambo

Kibali

20,000

20,000


 

 

Kiambatisho Na.6

 

Mapendekezo ya Kutoza Kibali kwa Ajili ya Huduma kwa Mifugo na Mazao Yake Wanaopita Nchini Kwenda Nje ya Nchi (shilingi)

 

 

S/N

Aina ya Mfugo/zao

Kipimo

Tozo (Tshs)

1

Ng’ombe

Kila mmoja

2,500

2

Kondoo/mbuzi

Kila mmoja

1,500

3

Nguruwe

Kila mmoja

1,500

4

Farasi / Mule / Punda

Kila mmoja

2,500

5

Mbwa/paka

Kila mmoja

1,000

6

Ngamia

Kila mmoja

2,500

7

Kuku / Kanga

Kila mmoja

200

8

Vifaranga

100

1,000

9

Zaidi ya trei 100 za mayai ya kula

Trei              la

mayai 30

500

10

Zaidi ya trei 10 za mayai ya

kutotolea

Kila mmoja

1,000

11

Bata mzinga

Kila mmoja

1000

12

Kasuku/falcon/Mbuni

Kila mmoja

15,000

13

Ndege wa porini

Kila mmoja

500

14

Sungura

Kila mmoja

500

15

Vyura/ mijusi / wadudu

Kibali

20,000

16

Wanyama wa maabara

Kibali

30,000

17

Wanyama wa porini

Kila mmoja

1,000

18

Nyara za Serikali

Kibali

30,000

19

Nyama na mazao yake zaidi ya kilo 50

Kilo

50

20

Soseji / nyama ya kusaga/

Kilo

50


 

S/N

Aina ya Mfugo/zao

Kipimo

Tozo (Tshs)

 

bidhaa zingine za nyama

 

 

21

Nyongo

Kibali

50,000

22

Korodani/tendons

Kibali

200,000

23

Maziwa

Lita

500

24

Mtindi

Lita

2,000

25

Maziwa ya unga

Kilo

4,000

26

Jibini / siagi

Kilo

2,000

27

Ngozi ya ng’ombe

Kipande

500

28

Ngozi ya mbuzi/kondoo

Kipande

100

29

Pembe  za  ng’ombe,            Mbuzi, kondoo, kwato na mifupa

Tani

10,000

30

Manyoya / sufu

Kibali

20,000

31

Chakula cha wanyama

Tone

10,000

32

Mbolea ya kiboni

Ton

5,000

33

Embryos

Each

500

34

Semen

Straws

50

35

Specimen

Permit

20,000

36

Maunzi / vifaa vya maabara

Permit

300,000

37

Vifaa  vya  utambuzi         (mfano hereni za sikioni)

Permit

200,000


 

 

Kiambatisho Na. 7

 

Mapendekezo ya Kupunguza Tozo za Mrabaha wa kusafirisha samaki nje

 

 

No.

Aina ya Samaki/Zao

Tozo ya Sasa

(US$)

Tozo Pendekezwa

(US$)

1

Minofu ya samaki

0.24

0.2

2

Sangara                      aliyetolewa kichwa na matumbo

0.25

0.21

3

Sangara nzima aliyetolewa matumbo

 

0.25

4

Ngozi ya samaki

 

0.15

5

Dagaa-Victoria

0.2

0.16

6

Dagaa-Tanganyika

1

0.5

7

Dagaa-Nyasa

0.3

0.16

8

Furu waliokaushwa

0.16

0.16

9

Samaki wakavu

0.3

0.3

10

Kayabo, Ng’onda

 

0.3

11

Migebuka wabichi

0.5

0.3

12

Migebuka wakavu

0.4

0.2

13

Vipande

sangara

vya

minofu

ya

0.24

0.2

14

Sangara Wakavu

0.3

0.2

15

Makome ya Baharini

 

0.075

16

Kamba miti wasiokuwa na vichwa

 

0.9

17

Kamba miti wenye vichwa

 

1.2

18

Aina ya samaki wengine

1

0.2


 

19

Makome ya Maji baridi

 

0.01

20

Makome (Nyumba za

Konokono)

 

0.3

21

Mabondo mabichi

5% ya bei ya soko

4% ya bei ya soko

22