Uchanganyaji wa chakula cha kuku na ulishaji wake
LISHE YA KUKU Ili kuku waweze kuishi, kukua vizuri, kunenepa na kutaga mayai mengi ni lazima wale chakula kingi na chenye ubora unaotakiwa. Uwingi na ubora wa lishe ya kuku…
Mafanikio katika ufugaji wa ng’ombe wa maziwa huletwa na mipango mizuri
Mipango thabiti huleta mafanikio katika ufugaji wa ng’ombe wa maziwa. Wafugaji waliofanikiwa wanafahamu fika kuwa katika uzalishaji wa maziwa 20% inatokana na aina ya ng’ombe na 80% matunzo. Watu wengi…
Ukweli kuhusu homa ya mafua ya ndege
Vipi tunaweza kujikinga na homa ya mafua ya ndege Homa ya mafua makali inaweza kumpata binadamu na ina uwezo wa kukufanya ukawa mgonjwa sana au hata kukuua. Njia rahisi ya…
Mambo muhimu ya kuzingatia ili kupunguza magonjwa ya mifugo shambani mwako
Na Mwandishi wetu Augustino Chengula Maswali mengi sana ambayo nimekuwa nikiyapata toka kwa wafugaji wengi wa mifugo ya aina mbalimbali inahusu namna ya kutibu magonjwa. Wengi wa wauliza maswali ni…
Masimulizi ya ufugaji wa ng’ombe
Na Mbega Mnyama Halima ni mtoto wa darasa la tano. Alihama kutoka Dar es Salaam kwenda shule ya Msingi Mtanana. Shule hiyo iko katika Wilaya ya Mpwapwa kama kilometa arobaini…
Ufugaji wa kuku tangu vifaranga
ULEAJI BORA WA VIFARANGA Mambo mengi yanayohusika katika uleaji wa vifaranga kwa upande wa HARSHO FEEDS tupo tayari kumhudumia mfugaji wa kuku kwa kumpatia chakula na utaalamu sahihi. Katika uleaji…
Serikali itafute suluhisho la kudumu migogoro ya wakulima na wafugaji
Katika siku za karibuni kumeibuka tena taarifa za vurugu kati ya wakulima na wafugaji katika wilaya ya Mvomero, mkoani Morogoro. Hivi karibuni kulikuwa na taarifa za kuuawa ng’ombe 68 na…
Dalili za kutambulisha ng’ombe aliye kwenye joto
Uzalishaji wenye faida kwa ng’ombe wa maziwa huhitaji uangalizi wa karibu, unaowezesha kutambua ni wakati gani ng’ombe ana joto, hivyo kufanya uhamilishaji kwa wakati unaotakiwa. Kushindwa kutambua joto ni chanzo…
Vituo vya kuzalisha vifaranga wa samaki Tanzania
Vifuatavyo ni vituo vya kuzalisha vifaranga wa samaki hapa nchini Tanzania Bukoba (Bukoba Mjini) Moshi (Karanga) Morogoro (Kingolwira) Lindi (Mtama) Mara (Musoma) Mwanza (Mwanza) Songea (Luhira) Tabora (Sikonge)
Ufugaji bora wa kuku wa kienyeji
Idadi ya wanyama wanaofugwa kwa chakula imezidi ile ya binadamu zaidi ya mara mbili kote ulimwenguni. Kuna maelfu ya wanyama kote duniani ilihali ni wachache tu wanaoweza kufugwa. Kati ya…
ELIMU YA UFUGAJI WA NG’OMBE – ORODHA YA MACHAPISHO
VIUNGANISHI VYENYE MAELEZO YA KINA UFUGAJI BORA WA NG’OMBE WA ASILI UKAMUAJI WA MAZIWA KWA NG’OMBE UZALISHAJI BORA WA MAZIWA NJIA BORA YA UKUSANYAJI NA UPIMAJI WA MAZIWA USINDIKAJI BORA…
