Yajue Magonjwa Muhimu ya Kuku
Tunashauri jamii kufuga kuku wa kuchanganya damu (cross breed) yaani pandisha kuku wa kienyeji na wale wa kisasa (indigenous + Pure breeds) ili kuweza kupata kuku ambao kwa kiasi fulani…
Tunashauri jamii kufuga kuku wa kuchanganya damu (cross breed) yaani pandisha kuku wa kienyeji na wale wa kisasa (indigenous + Pure breeds) ili kuweza kupata kuku ambao kwa kiasi fulani…
Na Augustino Chengula Kwa asili kuku wanapenda sana kudonoa kila kitu wanachokiona kinawavutia chenye mfanano na chakula. Kwa bahati mbaya tabia ya kudonoa haiishii tu kwa vitu bali huenda mbali…
UPUNGUZAJI WA MIDOMO YA KUKU Maana. Ni uondoaji/ukataji wa sehemu ya ncha ya mbele kwenye upande wa juu na wa chini wa mdomo wa kuku. Kwa nini kuku hupunguzwa mdomo?…
Watu wengi wamekuwa wakiogopa kufuga vifaranga vya umri wa siku moja kwa kuogopa kwamba vifaranga vinakufa sana. Kuna sababu nyingi zinazofanya vifaranga wafe. Kubwa kati ya hizo ni: WANAPOTOTOLESHWA. UANGALIZI…
Kwa kawaida Tetea anatumia muda wa masaa 24 – 27 (siku moja) kutengeneza yai. Hakuna njia ya kupunguza muda huu (yaani atengeneze mayai miwili katika siku moja). Hiyo ndio asili…
Kujazana Kuku wakijazana kwenye banda lenye nafasi ndogo huanza tabia ya kudonoana. Kuboreka Kuku hupenda kuparuaparua na kuzunguka zunguka. Wakikosa nafasi na vitu vya kudonoa donoa huanza kudonoana wenyewe kwa…
Na mwandish wetu Lukas Michael Usisahau kupakua app ya Tovuti yako uipendayo ya UFUGAJI hapa 👉👉 APP YA UFUGAJI Habari ndugu mfugaji, katika ufugaji kuku kitu moja wapo cha kuzingatia…
Na Mwandishi wetu Lukas Michael Karibu tena ndugu mfugaji kwenye tovuti yako uipenday ya UFUGAJI ujifunze ili uongeze mradi wako. Wafugaji wengi wamejikita katika ufugaji kuku wa kienyeji, kuku wa…
Na Mwandishi wetu Lukas Michael Habari wafugaji leo ni siku nyingine tena, tukiendelea na masomo mbalimbali yanayohusu ufugaji wa kuku. Kwa kawaida kulea vifaranga ni changamoto kwa wafugaji wengi, hivyo…
Na mwandishi wetu Lucas Michael Ndugu msomaji wa Tovuti yetu uipendayo ya UFUGAJI leo nakuletea Makala inayohusu matunzo kwa kuku anayeatamia mayai. Wafugaji wengi hawajali sana mazingira mayai yalipo ya…
Na mwandishi wetu Lucas Michael Lengo kuu kuchagua kuku wa kuzalisha ni kupata kundi la kuku litakalofaa kwa sifa zote katika uzalishaji. Watu wengi hupenda kufuga chotara ila ukiwauliza hao…
Mambo yanayomfanya mfugaji kuamua atumie njia fulani ya kufuga ni pamoja na uwezo wa kugharamia shughuli ya ufugaji wa kuku na ukubwa wa eneo alilonalo la kufugia. Katika sehemu hii…
Magonjwa ya kuku kwa ujumla yapo mengi sana na kuna baadhi ya magonjwa ambayo hayapo hapa nchini,ni vyema kujua dalili hizi za magonjwa mapema ili kuepusha hasara inayoweza kutokea kutokana…
Mchanganuo Pengine umekuwa ukiwaza sana nini ufanye ili uweze kufanikiwa na kuondokana na adha za umaskini. Yako mambo mengi ya kufanya mimi nataka kukufungua macho kwa jambo moja tu tena…
Kuku chotara/kienyeji hufungwa kwa matumizi ya kutaga mayai na pia kwa nyama.Mfugaji atachagua aina na mfumo wa chakula kutokana na yeye anafuga kuku hawa kwa matumizi gani. Ili kuku wafugwe…
A. MFUMO HURIA Katika mfumo huu kuku huachiwa wakitembea toka asubuhi wakijitafutia chakula na maji na kufungiwa kwenye vibanda visivyo rasmi wakati wa usiku. Huu ni mfumo rahisi lakini si…