Ufugaji bora wa kuku na udhibiti wa magonjwa
SIFA ZA JOGOO NA TETEA BORA 1. SIFA ZA JOGOO BORA Awe na umbo kubwa Awe na ukiko nzuri usioangukia upande mmoja Awe mchangamfu Apende kuwa na himaya yake. Sifa…
SIFA ZA JOGOO NA TETEA BORA 1. SIFA ZA JOGOO BORA Awe na umbo kubwa Awe na ukiko nzuri usioangukia upande mmoja Awe mchangamfu Apende kuwa na himaya yake. Sifa…
Sifa za banda bora la Kuku Banda bora la kuku linatakiwa kuwa kama ifuatavyo: Liwe jengo imara Pasiwe na sehemu zilizo wazi kwenye msingi na kati ya ukuta na paa.…
Wakati wa kufuga ni muhimu kuku wapate sehemu ya wazi wanayoweza kutembea kwa uhuru. mfugaji mwenye lengo la kufuga kuku wengi wenye umri mmoja na kupata mayai mengi au aweze…
Imeeandikwa na watafiti B. A.Temba, F.K.Kajuna, G.S.Pango na R Benard kuchapishwa kwenye jarida (journal) la Livestock Research for Rural Development toleo la 28 (1) la Januari 2016 kwa lugha ya…
Ndege wa kufuga ni kama vile kuku, bata, batamzinga, kanga na bata bukini. Kuku hasa ndio wanaofugwa zaidi. Watu wengi hufuga kuku wa kienyeji ambao huachiliwa kuzurura wakijitafutia chakula. Ingawa…
Umri (Wiki) Kiasi (gramu) Kiasi kwa kuku 100 (Kilo) 1 12-15 1.2-1.5 2 15-21 1.5-2.1 2 21-35 2.1-3.5 4-6 35-50 3.5-5.5 7-8 55-60 5.5-6.8 8-16 60-68 6.8-7.5 16-27 68-80 7.5-9.0…
Na Mkulimastar Upungufu wa vitamini hujionyesha kwa namna tofauti katika miili ya kuku, na kila dalili huashiri upungufu wa vitamin. Sio kila ugonjwa unao uona katika kuku, kanga, na hata…
Watu wengi hapa nchini hujihusisha na ufugaji wa kuku kwa lengo la kujipatia chakula na kipato. Mazao yatokanayo na ufugaji wa kuku ni pamoja na mayai, nyama, mbolea na manyoya…
Na Erick Joseph LEO TUANGALIE MCHANGANUO WA TSHS 300,000/= (LAKI TATU) KWA KUANZISHA MRADI WA UFUGAJI KUKU WA KIENYEJI. Hapa tuta hitaji kuku 11 tu wakubwa wanao taga yani majike…
Na Walter Riwa 0756264580 DSM (imehaririwa) Vifaranga wa bata mzinga ni tofauti na wa kuku kwani vifaranga wa kuku hutotolewa wakiwa tayari wanajua kujifunza kula na kunywa maji wakati wale…
KANUNI ZA MSINGI Wape kuku lishe jnayofaa na maji safi haswa vifaranga wadogo. Wajengee mabanda/nyumba ya kujisitiri dhidi ya upepo na mvua. Safisha nyumba ya ndege mara kwa mara. Ikiwa…
Na Augustino Chengula Avian leukosis unaojulikana kama kansa ya kuku unasababishwa na virusi walioko kwenye kundi moja na virusi vya ukimwi kisayansi linaitwa retroviruses (family retroviridae). Hawa virusi wa kuku…
Dondoo za ufugaji bora wa kuku wa asili Ufugaji wa kuku wa asili ni nyenzo muhimu katika kupambana na wimbi la umasikini kwa kuongeza kipato cha kaya. Hata hivyo, pamoja…
Mfanano: Magonjwa haya yanafanana sana kwa kuwa na viuvimbe vya kansa vyenye muonekano wa rangi ya kijivu kwenye ini, bandama, figo. Mwishoni mwa kukaribia kufa kwa magonjwa yote huonyesha dalili…
Ndugu wadau wa mifugo, kuna kundi la kilimo na mifugo limeanzaishwa likiwa na miezi miwili sasa. Lilianzia whatsapp lakini sasa lipo Teregram kwasababu Teregram inauwezo wa kuwa na wengi zaidi.…
Na. Ev. Mujaya Mujaya Simu: +255715678122 au +255768678122 Barua Pepe: ev.mujaya@gmail.com MAHITAJI Kuku(tetea) 10 na Jogoo 01 Banda bora Vyombo vya chakula na maji Chakula bora Madawa na chanjo kwajili…
Ili mifugo na kilimo viendelee Tanzania ( Mazao, Mifugo na Uvuvi) vinahitaji yafuatayo; Mifugo Lazima tuwe na mitamba ya mifugo wa kisasa wa maziwa na nyama ili kupata tija kubwa…
Utangulizi: Kabla ya kuanza ufugaji wa bata mzinga ni lazima kuhakikisha una chakula cha kutosha kwa sababu ulishaji wa ndege hawa kadri wanavyokua huwa na gharama kubwa zaidi. Ni muhimu…
You must be logged in to post a comment.