Hotuba ya Bajeti Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Mwaka wa fedha 2016/2017
Hotuba ya Bajeti Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi iliyowasilishwa na Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2015/2016 inapatikana hapa Hotuba-ya-Bajeti-2016-17. Wizara ya…
UFUGAJI MSETO WA SAMAKI, WANYAMA NA KILIMO CHA MAZAO ILI KUONGEZA TIJA
UTANGULIZI Ufugaji mseto wa samaki ni ufugaji ambao bwawa la samaki linakuwa ndani ya shamba pamoja na shughuli nyingine za shamba aidha hapo hapo shambani au katika eneo lililo mbali…
Tofauti kati ya ugonjwa wa Avian Leukosis na Mareksi
Mfanano: Magonjwa haya yanafanana sana kwa kuwa na viuvimbe vya kansa vyenye muonekano wa rangi ya kijivu kwenye ini, bandama, figo. Mwishoni mwa kukaribia kufa kwa magonjwa yote huonyesha dalili…
Namna ya kujiunga na kundi la kilimo na mifugo
Ndugu wadau wa mifugo, kuna kundi la kilimo na mifugo limeanzaishwa likiwa na miezi miwili sasa. Lilianzia whatsapp lakini sasa lipo Teregram kwasababu Teregram inauwezo wa kuwa na wengi zaidi.…
Ufugaji wa kuku wa kienyeji kama mradi
Na. Ev. Mujaya Mujaya Simu: +255715678122 au +255768678122 Barua Pepe: ev.mujaya@gmail.com MAHITAJI Kuku(tetea) 10 na Jogoo 01 Banda bora Vyombo vya chakula na maji Chakula bora Madawa na chanjo kwajili…
Mambo ya msingi mifugo na kilimo viendelee hapa nchini
Ili mifugo na kilimo viendelee Tanzania ( Mazao, Mifugo na Uvuvi) vinahitaji yafuatayo; Mifugo Lazima tuwe na mitamba ya mifugo wa kisasa wa maziwa na nyama ili kupata tija kubwa…
Namna bora ya kufuga Bata Mzinga
Utangulizi: Kabla ya kuanza ufugaji wa bata mzinga ni lazima kuhakikisha una chakula cha kutosha kwa sababu ulishaji wa ndege hawa kadri wanavyokua huwa na gharama kubwa zaidi. Ni muhimu…
Misingi ya ufugaji wa kuku wa asili
FAIDA ZA UFUGAJI WA KUKU WA ASILI (1) Ni chanzo cha haraka cha pesa (2) Nyama ya kuku ni protein tosha (3) Kinyesi cha kuku ni mbolea (4) Maganda na…
Usimamizi wa migogoro ya ardhi hususan kati ya wakulima na wafugaji
MADA KUHUSU USIMAMIZI WA MIGOGORO YA ARDHI HUSUSAN KATI YA WAKULIMA NA WAFUGAJI ILIYOWASILISHWA KWENYE MKUTANO WA WAKUU WA MIKOA, MAKATIBU TAWALA WA MIKOA NA WAKUU WA WILAYA YALIYOMO 1.0…
Ugonjwa wa kutupa mimba kwa wanyama (Brucellosis)
Na Augustino Chengula Ugonjwa wa kutupa mimba (Brucellosis) ni ugonjwa unaosababishwa na vimlea vya bakteria wajulikano kitaalamu kama Brucella. Ugonjwa wa kutupa mimba ni ugonjwa muhimu kwa wanyama kwani husababisha…
Namna uhamilishaji (Artificial Insemination) inavyofanyika NAIC Arusha
Video hii inaonyesha namna uhamilishaji (A.I) unavyofanyika pale NAIC (National Artificial Insemination Centre) Arusha. Video hii itakufundisha maana ya uhamilishaji, historia ya uhamilishaji Tanzania na namna uhamilishaji unavyofanyika na umuhimu…
Umuhimu wa uzoefu katika kumtambua ng’ombe aliye kwenye joto
Na Mkulima Mbunifu Uzalishaji wenye faida kwa ng’ombe wa maziwa huhitaji uangalizi wa karibu, unaowezesha kutambua ni wakati gani ng’ombe ana joto, hivyo kufanya uhamilishaji kwa wakati unaotakiwa. Kushindwa kutambua…
Mmea huu unaongeza utagaji wa mayai kwa kuku
Unaweza kufikiria ni mzaha lakini wafugaji wanafanya haya na kuona Mafanikio kwa kiasi kikubwa sana. Miezi michache iliyopita tulipotembelea wakulima huko Njombetulikutana na utafiti huu ambao wakulima wamefanya na kujaribu…
Chakula cha samaki: Njia bora ya kudhibiti ubora wake
Chakula cha samaki ni moja ya mahitaji muhimu yanayotumia gharama kubwa katika ufugaji wa samaki. Udhibiti mzuri wa ubora wa chakula unaweza kupunguza gharama zisizo za lazima na kumhakikishia mfugaji…
Ufugaji wa samaki hatua kwa hatua: Hatua ya sita
Na Farida Mkongwe HATUA YA 6: MASOKO Katika hatua ya 5 ya mfululizo wa makala hii ya ufugaji wa samaki tulizungumzia uvunaji, usindikaji na uhifadhi wa samaki. Katika uvunaji tuliona…
Waziri Nchemba afanya ziara ya kushtukiza usiku machinjio ya Ukonga Mazizi, Dar
Ziara ya kushtukiza ya Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Mwigulu Nchemba katika machinio ya Ukonga Mazizi Dar ulifanywa usiku wa Feb 11 2016. Lengo la safari hiyo lilikuwa ni…
Ufugaji wa samaki hatua kwa hatua: Hatua ya tano
Na Farida Mkongwe HATUA YA 5: UVUNAJI, USINDIKAJI NA UHIFADHI WA SAMAKI Katika hatua ya 4 ya mfululizo wa makala hii ya ufugaji wa samaki ilizungumzia ulishaji na utunzaji wa…
Mgogoro wa Wafugaji na Wakulima Mvomero wateketeza tena mifugo zaidi ya 200
Kikundi cha ulinzi wa jadi kinachoundwa na wakulima maarufu kama Mwani, kinadaiwa kuvamia nyumba ya mfugaji mmoja wa jamii ya Kimasai katika kijiji cha Kambala, wilayani Mvomero, mkoa wa Morogoro…
Ufugaji wa samaki hatua kwa hatua: Hatua ya nne
Na Farida Mkongwe HATUA YA 4: ULISHAJI NA UTUNZAJI WA SAMAKI BWAWANI Katika hatua ya tatu tuliona kuwa vifaranga kabla ya kusafirishwa viwekwe kwenye vibwawa vidogo vidogo kwa muda wa…



