Namna bora ya kufuga Bata Mzinga
Utangulizi: Kabla ya kuanza ufugaji wa bata mzinga ni lazima kuhakikisha una chakula cha kutosha kwa sababu ulishaji wa ndege hawa kadri wanavyokua huwa na gharama kubwa zaidi. Ni muhimu…
Misingi ya ufugaji wa kuku wa asili
FAIDA ZA UFUGAJI WA KUKU WA ASILI (1) Ni chanzo cha haraka cha pesa (2) Nyama ya kuku ni protein tosha (3) Kinyesi cha kuku ni mbolea (4) Maganda na…
Usimamizi wa migogoro ya ardhi hususan kati ya wakulima na wafugaji
MADA KUHUSU USIMAMIZI WA MIGOGORO YA ARDHI HUSUSAN KATI YA WAKULIMA NA WAFUGAJI ILIYOWASILISHWA KWENYE MKUTANO WA WAKUU WA MIKOA, MAKATIBU TAWALA WA MIKOA NA WAKUU WA WILAYA YALIYOMO 1.0…
Ugonjwa wa kutupa mimba kwa wanyama (Brucellosis)
Na Augustino Chengula Ugonjwa wa kutupa mimba (Brucellosis) ni ugonjwa unaosababishwa na vimlea vya bakteria wajulikano kitaalamu kama Brucella. Ugonjwa wa kutupa mimba ni ugonjwa muhimu kwa wanyama kwani husababisha…
Namna uhamilishaji (Artificial Insemination) inavyofanyika NAIC Arusha
Video hii inaonyesha namna uhamilishaji (A.I) unavyofanyika pale NAIC (National Artificial Insemination Centre) Arusha. Video hii itakufundisha maana ya uhamilishaji, historia ya uhamilishaji Tanzania na namna uhamilishaji unavyofanyika na umuhimu…
Umuhimu wa uzoefu katika kumtambua ng’ombe aliye kwenye joto
Na Mkulima Mbunifu Uzalishaji wenye faida kwa ng’ombe wa maziwa huhitaji uangalizi wa karibu, unaowezesha kutambua ni wakati gani ng’ombe ana joto, hivyo kufanya uhamilishaji kwa wakati unaotakiwa. Kushindwa kutambua…
Mmea huu unaongeza utagaji wa mayai kwa kuku
Unaweza kufikiria ni mzaha lakini wafugaji wanafanya haya na kuona Mafanikio kwa kiasi kikubwa sana. Miezi michache iliyopita tulipotembelea wakulima huko Njombetulikutana na utafiti huu ambao wakulima wamefanya na kujaribu…
Chakula cha samaki: Njia bora ya kudhibiti ubora wake
Chakula cha samaki ni moja ya mahitaji muhimu yanayotumia gharama kubwa katika ufugaji wa samaki. Udhibiti mzuri wa ubora wa chakula unaweza kupunguza gharama zisizo za lazima na kumhakikishia mfugaji…
Ufugaji wa samaki hatua kwa hatua: Hatua ya sita
Na Farida Mkongwe HATUA YA 6: MASOKO Katika hatua ya 5 ya mfululizo wa makala hii ya ufugaji wa samaki tulizungumzia uvunaji, usindikaji na uhifadhi wa samaki. Katika uvunaji tuliona…
Waziri Nchemba afanya ziara ya kushtukiza usiku machinjio ya Ukonga Mazizi, Dar
Ziara ya kushtukiza ya Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Mwigulu Nchemba katika machinio ya Ukonga Mazizi Dar ulifanywa usiku wa Feb 11 2016. Lengo la safari hiyo lilikuwa ni…
Ufugaji wa samaki hatua kwa hatua: Hatua ya tano
Na Farida Mkongwe HATUA YA 5: UVUNAJI, USINDIKAJI NA UHIFADHI WA SAMAKI Katika hatua ya 4 ya mfululizo wa makala hii ya ufugaji wa samaki ilizungumzia ulishaji na utunzaji wa…
Mgogoro wa Wafugaji na Wakulima Mvomero wateketeza tena mifugo zaidi ya 200
Kikundi cha ulinzi wa jadi kinachoundwa na wakulima maarufu kama Mwani, kinadaiwa kuvamia nyumba ya mfugaji mmoja wa jamii ya Kimasai katika kijiji cha Kambala, wilayani Mvomero, mkoa wa Morogoro…
Ufugaji wa samaki hatua kwa hatua: Hatua ya nne
Na Farida Mkongwe HATUA YA 4: ULISHAJI NA UTUNZAJI WA SAMAKI BWAWANI Katika hatua ya tatu tuliona kuwa vifaranga kabla ya kusafirishwa viwekwe kwenye vibwawa vidogo vidogo kwa muda wa…
Mahitaji ya ng’ombe ili aongeze maziwa
Na Mkulima Mbunifu Wape ng’ombe wako lishe kamili, yenye nguvu, protini, na vitamin pamoja na maji ya kutosha. Kulisha ng’ombe kwa kutumia aina yoyote ya malisho haitoshi kukuhakikishia ng’ombe anakuwa…
Ufugaji wa samaki hatua kwa hatua: Hatua ya tatu
Na Farida Mkongwe HATUA YA 3: UANDAAJI NA UPANDIKIZAJI WA VIFARANGA VYA SAMAKI Katika hatua hii ya tatu tutaangalia uandaaji na upandikizaji wa vifaranga au mbegu za samaki katika bwawa.…
Mambo muhimu ya kuzingatia unapotunza vifaranga
Kwa karne na miaka mingi, ufugaji wa kuku imekuwa ni kazi muhimu na inayokubalika katika jamii nyingi. Ni kazi isiyohitaji gharama kubwa sana, ambayo imekuwa na mafanikio kwa kiasi kikubwa…
Ufugaji wa samaki hatua kwa hatua: Hatua ya pili
Na Farida Mkongwe HATUA YA 2: UCHIMBAJI WA BWAWA Katika hatua hii ya 2 ambayo ni uchimbaji wa bwawa, jambo la kwanza la kuangalia ni vipimo. Kimsingi kwa mujibu wa…
Kondoo wakifugwa kisasa wana faida kubwa na huongeza kipato
Na Mkulima Mbunifu “Katika eneo letu, idadi ya wafugaji wa kondoo imepungua sana, wakati idadi ya wanohitaji imeongezeka hasa raia wa kigeni, na bei iko juu. Naomba maelezo namna ya…
Ufugaji wa samaki hatua kwa hatua: Hatua ya kwanza
Na: Farida Mkongwa HATUA YA 1: SIFA ZA ENEO ZURI LA KUFUGIA SAMAKI Katika sehemu hii tunaangalia ufugaji wa samaki hatua kwa hatua na katika hatua ya kwanza tunaangalia sifa…
Jinsi ya kuzuia kuku wako wasipate magonjwa
Na Mkulima Mbunifu Ufugaji wa kuku una faida kubwa, lakini mkulima anatakiwa kuzuia kadri awezavyo uwezekano wa kuwepo magonjwa shambulizi. Wafugaji wengi wamekuwa wakiwekeza katika ufugaji wa kuku. Ufugaji huo…
You must be logged in to post a comment.