Ufugaji wa kuku wa kienyeji na uzalishaji wa minyoo na mchwa kwa chakula cha kuku
Ndege wa kufuga ni kama vile kuku, bata, batamzinga, kanga na bata bukini. Kuku hasa ndio wanaofugwa zaidi. Watu wengi hufuga kuku wa kienyeji ambao huachiliwa kuzurura wakijitafutia chakula. Ingawa…
Kiasi cha chakula cha kulisha kuku kwa siku
Umri (Wiki) Kiasi (gramu) Kiasi kwa kuku 100 (Kilo) 1 12-15 1.2-1.5 2 15-21 1.5-2.1 2 21-35 2.1-3.5 4-6 35-50 3.5-5.5 7-8 55-60 5.5-6.8 8-16 60-68 6.8-7.5 16-27 68-80 7.5-9.0…
Ukosefu wa Vitamini kwa kuku (Avitaminosis)
Na Mkulimastar Upungufu wa vitamini hujionyesha kwa namna tofauti katika miili ya kuku, na kila dalili huashiri upungufu wa vitamin. Sio kila ugonjwa unao uona katika kuku, kanga, na hata…
Mageuzi ya Kilimo na Mifugo yanawezekana
Imeandikwa na mhariri wa Habari Leo IMECHAPISHWA: 07 AGOSTI 216 MAONESHO ya wakulima ya Nanenane yaliyoanza wiki iliyopita, yanatarajiwa kufikia kilele chake kesho katika Kanda mbalimbali nchini, huku yale ya…
Kanuni za ufugaji bora wa kuku
Watu wengi hapa nchini hujihusisha na ufugaji wa kuku kwa lengo la kujipatia chakula na kipato. Mazao yatokanayo na ufugaji wa kuku ni pamoja na mayai, nyama, mbolea na manyoya…
Ufugaji wa nguruwe na faida zake
Na Patrick Tungu Nguruwe ni mnyama amabaye hutumika kama chakula yaani mbonga na pia ni zao la biashara kwa mfugaji, mjasirimali na mfanyabiashara. Nguruwe hutegemea sana mambo yafuatayo; 1. Bada…
Mchanganuo wa mradi wa ufugaji wa kuku wa kienyeji wa shilingi laki tatu
Na Erick Joseph LEO TUANGALIE MCHANGANUO WA TSHS 300,000/= (LAKI TATU) KWA KUANZISHA MRADI WA UFUGAJI KUKU WA KIENYEJI. Hapa tuta hitaji kuku 11 tu wakubwa wanao taga yani majike…
Ukaushaji wa samaki wadogo Ziwa Nyasa kwa kutumia nishati ya jua
Kitendo cha kutupa samaki kinaweza kuonekana kama kitendo kisicho cha kawaida au jambo lisilo la busara, lakini kwa ujumla huwepo upotevu mkubwa wa samaki baada ya kuvuliwa. Baadhi ya wavuvi…
Jinsi ya kulea vifaranga wa Bata mzinga
Na Walter Riwa 0756264580 DSM (imehaririwa) Vifaranga wa bata mzinga ni tofauti na wa kuku kwani vifaranga wa kuku hutotolewa wakiwa tayari wanajua kujifunza kula na kunywa maji wakati wale…
Kanuni za ufugaji bora wa ng’ombe
Ng’ombe wanafugwa kwa ajili ya nyama na maziwa lakini pia hutoa mazao mengine kama ngozi,mbolea na hutumika kama wangyama kazi. Zaidi ya asilimia95 ya ng,ombe na hutumika kama wanyama kazi.…
Kundi la ng’ombe likipelekwa mnadani
Ng'ombe wakiswagwa kutoka soko la Nambogo na wafugaji jamii ya Barabaig mkoani Mororgoro
Kanuni 10 za msingi za kuzuia magonjwa ya ndege (kuku, bata, bata mzinga, kanga)
KANUNI ZA MSINGI Wape kuku lishe jnayofaa na maji safi haswa vifaranga wadogo. Wajengee mabanda/nyumba ya kujisitiri dhidi ya upepo na mvua. Safisha nyumba ya ndege mara kwa mara. Ikiwa…
Tanzania ijayo: Ufugaji wa kisasa na biashara kubwa ya mazao ya mifugo yetu
BIASHARA YA MAZAO YA NG’OMBE DUNIANI Mazao makuu ya ng’ombe (cattle) ni: (i) NYAMA: beef (adult cattle) na veal (calves) na sehemu nyingine za ng’ombe zinatumika kwa chakula; (ii) MAZIWA…
Huduma za ugani zinazotolewa na watalaam wa mifugo
Huduma za ugani hutolewa na wataalam wa mifugo wa Serikali wa Halmashauri, pamoja na sekta binafsi katika kliniki na vituo vya mifugo. Huduma zinazotolewa na Wataalamu wa Mifugo wa Serikali:-…
Uandaaji wa chakula cha mifugo kwa njia ya hydroponics fodder
Na Michael Ngonyani Hydroponics ni utaratibu wa kuotesha mimea kwa kutumia maji bila kuhusisha matumizi ya mchanga kabisa, isipokuwa mimea inaoteshwa katika chombo maalum ‘tray” ambacho kipo katika hali ya…
Tathmini ya upatikanaji wa malighafi asilia kwa ajili ya utengenezaji vyakula bora vya Perege Tanzania
Na Mtafiti Utafiti wa awali na Utengenezaji wa Chakula Utafiti wa viungo mchanganyiko vinavyotumika na wakulima kulishia samaki, na unaofaa ulifanyika katika mikoa ya Arusha na Mbeya. Lengo la utafiti…
Jinsi ya kuandaa chakula cha mifugo yako kwa njia ya hydroponic
Na Deogratious Sijaona: Hydroponics ni utaratibu wa kuotesha mimea kwa kutumia maji bila kuhusisha mchanga/udongo kabisa. Mimea inaoteshwa katika chombo maalum “tray” ambacho kipo safi na kina matundu kwa chini…
Chakula bora na nafuu cha samaki ni suluhisho la uhakika kwa maendeleo ya ufugaji samaki tanzania
Na Mtafiti Chakula cha samaki ni tatizo kubwa katika maendeleo ya ufugaji wa samaki hapa nchini. Wengi wa wafugaji wadogo wa samaki hutegemea kurutubisha bwawa kwa kutumia chakula kisichokuwa na…
Ugonjwa wa kuku: Avian Leukosis (kansa ya kuku)
Na Augustino Chengula Avian leukosis unaojulikana kama kansa ya kuku unasababishwa na virusi walioko kwenye kundi moja na virusi vya ukimwi kisayansi linaitwa retroviruses (family retroviridae). Hawa virusi wa kuku…
Ufugaji wa kuku wa asili: Dondoo za ufugaji
Dondoo za ufugaji bora wa kuku wa asili Ufugaji wa kuku wa asili ni nyenzo muhimu katika kupambana na wimbi la umasikini kwa kuongeza kipato cha kaya. Hata hivyo, pamoja…



