Ufugaji wa mbuzi wa Nyama
PAKUA APP YA TOVUTI HII YA UFUGAJI HAPA Na Daniel Mbega BINAFSI nimezaliwa katika jamii ya wafugaji ambayo ulaji wa nyama, hasa ya mbuzi, ni sehemu ya maisha. Nakumbuka tangu…
Vyakula vya Nguruwe na Ulishaji
A. Utangulizi Chakula bora kwa nguruwe ni moja ya swala muhimu sana kwenye dhana nzima ya ufugaji wa nguruwe wenye tija na faida kwa mfugaji. Chakula cha nguruwe kinagarimu yapata…
Ufanye nini ili kuwakinga kuku dhidi ya wanyama au ndege wanaoweza kuwadhuru?
Anza kwa Kupakua App ya Ufugaji HAPA Pamoja na kuwapatia huduma bora kuku wako, kuwakinga na wanyama na ndege wanaoweza kuwadhuru iwe ni kitu cha muhimu kwenye vitu unavyopaswa kuvifanya…
Yajue Magonjwa Muhimu ya Kuku
Tunashauri jamii kufuga kuku wa kuchanganya damu (cross breed) yaani pandisha kuku wa kienyeji na wale wa kisasa (indigenous + Pure breeds) ili kuweza kupata kuku ambao kwa kiasi fulani…
Kuku Kudonoana na Kulana
Na Augustino Chengula Kwa asili kuku wanapenda sana kudonoa kila kitu wanachokiona kinawavutia chenye mfanano na chakula. Kwa bahati mbaya tabia ya kudonoa haiishii tu kwa vitu bali huenda mbali…
App ya Tovuti ya Ufugaji inapatikana Google Play store bure
Ndugu wadau wa mifugo na wafuatilia wa Tovuti ya Mifugo, sasa unaweza kusoma machapisho yote ya tovuti hii kupitia simu yako ya kiganjani kwa njia ya app inayopatikana Google Play…
Homa ya Nguruwe bado tishio Songea, imeua Nguruwe 864
Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma imesitisha uchinjaji wa nguruwe katika maeneo yote ya Manispaa hiyo tangu Februari mwaka huu, kufuatia kuibuka kwa homa ya nguruwe ambayo haina kinga wala tiba.…
Kwa nini Upunguze kuku wako midomo?
UPUNGUZAJI WA MIDOMO YA KUKU Maana. Ni uondoaji/ukataji wa sehemu ya ncha ya mbele kwenye upande wa juu na wa chini wa mdomo wa kuku. Kwa nini kuku hupunguzwa mdomo?…
Kwa nini Vifaranga wako wanakufa?
Watu wengi wamekuwa wakiogopa kufuga vifaranga vya umri wa siku moja kwa kuogopa kwamba vifaranga vinakufa sana. Kuna sababu nyingi zinazofanya vifaranga wafe. Kubwa kati ya hizo ni: WANAPOTOTOLESHWA. UANGALIZI…
Ufugaji Bora wa Ng’ombe wa Maziwa
UMUHIMU WA UFUGAJI WA NG’OMBE WA MAZIWA KWA BINADAMU Huongeza kipato (Familia Vs Taifa). Chanzo cha ajira. Huboresha lishe kwa binadamu. Huongeza upatikanaji wa mbolea (20kg/siku/ng’ombe). Rafiki wa mazingira. Huongeza…
Ufanye nini ili kuku watage mayai mengi
Kwa kawaida Tetea anatumia muda wa masaa 24 – 27 (siku moja) kutengeneza yai. Hakuna njia ya kupunguza muda huu (yaani atengeneze mayai miwili katika siku moja). Hiyo ndio asili…
Kijue Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) katika nyanja ya Ufugaji
MAKALA KUPITIA KIPINDI CHA IJUE SUA ZINAZORUSHWA SIKU YA JUMANNE SAA 12.30 ASUBUHI NA MARUDIO SIKU YA IJUMAA SAA 12.45 JIONI KUPITIA KITUO CHA RADIO SUAFM. FUATILIA MAKALA YA LEO…
Mwongozo wa ufugaji wa samaki aina ya sato
FUGA SAMAKI KWA KIPATO ENDELEVU NA CHAKULA BORA UTANGULIZI Ufugaji wa samaki unafaida zifuatazo: huongeza kipato kwa wakulima, hurahisisha upatikanaji wa chakula hasa chakula aina ya protini,unapunguza kasi kubwa ya…
Kwa nini kuku hudonoana manyoya na ngozi?
Kujazana Kuku wakijazana kwenye banda lenye nafasi ndogo huanza tabia ya kudonoana. Kuboreka Kuku hupenda kuparuaparua na kuzunguka zunguka. Wakikosa nafasi na vitu vya kudonoa donoa huanza kudonoana wenyewe kwa…
SIFA ZA BANDA BORA LA KUKU
Na mwandish wetu Lukas Michael Usisahau kupakua app ya Tovuti yako uipendayo ya UFUGAJI hapa 👉👉 APP YA UFUGAJI Habari ndugu mfugaji, katika ufugaji kuku kitu moja wapo cha kuzingatia…
FAHAMU NAMNA YA KUPAMBANA NA HOMA YA NGURUWE
Homa ya nguruwe ni ugonjwa unaoenezwa na kirusi na umekuwa ukijirudia rudia kila mwaka kwa wafugaji wengi nchini mwetu. Hadi sasa ugonjwa huu hauna chanjo wala tiba, lakini ueneaji wake…
MFUMO WA UFUGAJI KUKU WA NUSU HURIA
Na Mwandishi wetu Lukas Michael Karibu tena ndugu mfugaji kwenye tovuti yako uipenday ya UFUGAJI ujifunze ili uongeze mradi wako. Wafugaji wengi wamejikita katika ufugaji kuku wa kienyeji, kuku wa…
PASIPO CHAKULA BORA HAIWEZEKANI KUPATA FAIDA KUBWA KATIKA UFUGAJI WA KISASA
Imeandikwa na: Katabaro, Mugyabuso G (0689494521) UTANGULIZI Vyakula ni muhimu sana hasa unapofikiria ufugaji wa kisasa na kibiashara. Vyakula huchangia kuanzia asilimia hamsini (50%) hadi sabini (70%) ya gharama za…



