CHANJO NI MUHIMU KWA NG’OMBE WAKO
Na Mkulima Mbunifu Ni rahisi sana kukuta mfugaji anapotaka kuanza mradi wa ufugaji akiwaza kupata pesa za kununua ng’ombe, kujenga banda na kisha kutafuta ng’ombe aliye bora na kumnunua akiamini…
UVUNAJI NA UHIFADHI WA MALISHO ASILIA KWA MIFUGO
Na SAT Morogoro Mfugaji ambaye hajaweza kuchagua eneo na kulitunza kwa ajili ya baadae kukata nyasi, anaweza kutafuta eneo la kuvuna malisho ya mifugo Malisho asilia ni uoto unaoota katika…
MADHARA YA MIFUKO YA PLASTIKI KWA WANYAMA
Na Augustino Chengula Mifuko ya plastiki imekuwa ikitumika kwa miaka mingi sasa hapa nchini kwa matumizi mbalimbali kubwa likiwa ni kubebea mizigo au bidhaa toka sokoni au mashambani. Mifuko hii…
UTUNZAJI WA AFYA YA WANYAMA
Na Augustino Chengula Wanyama kama alivyo binadamu wanapaswa kuishi wakiwa na afya njema wakifurahia uwepo wao kwa binadamu kama ilivyoukwa siku kabla ya kuwa mikoni mwa binadamu. Wanyama wenye afya…
MCHANGANYIKO WA CHAKULA CHA LAYERS KUANZIA MWENZI WA KWANZA HADI KUTAGA
Na Sefania Kajange: MWENZI WA 1-2 (Chick mash) Kiini lishe Uzito (kg) Mashudu 17 Mahindi 20 Pumba 43 Dagaa 15 Chokaa 2 Konokono 2 Chumvi 0.5 Premix 0.25 Jumla 100…
FOMULA YA CHAKULA CHA VIFARANGA
Na Sefania Kajange: Ni kwa ajili ya kuku wa kienyeji (pure) na wa kienyeji kutoka mataifa mbali mbali Chicks starter. Wiki 1-8 Kiini lishe Uzito (kg) Pumba za mahindi 40…
FAIDA ZA MBOGA ZA MAJANI KWA KUKU
Na Sefania Kajange: Faida za kuku kumpa mboga za majani. Tukianza njia nzuri inayopendekezwa kitaalamu ni kuning’iniza mboga Sababu kubwa ni kuzuia kudonoana ¬_ Huongeza vitamini A hasa unapowa ukiwa…
UPUNGUFU WA VITAMINI “A” KWA KUKU
Na mwandishi wetu Sefania Kajange: Upungufu wa vitamini A hujitokeza pale kuku atakapo kosa vitamini A mwilini. Ukosefu wa Vitamini A, huathiri kuku aina zote na umri wowote ila hasa…
JINSI YA KUTENGENEZA MINYOO, FUNZA NA MCHWA KWA CHAKULA CHA KUKU
Na Mwandishi Wetu Sefania Kajange: JINSI YA KUTENGENEZA MINYOO KWAAJILI YA KUKU Kutengeneza minyoo ya chakula (red worms planning) Red worms planning ni utaratibu wa kuzalisha minyoo kwa ajili ya…
KITABU CHA UFUGAJI BORA WA NG’OMBE WA ASILI
UFUGAJI BORA WA NG’OMBE WA ASILI KIMEANDALIWA NA FARM-AFRICA TANZANIA KWA KUSHIRIKIANA NA HALMASHAURI YA WILAYA ZA BABATI NA HANANG Yaliyomo: SHUKRANI …………………………………………………………………………………………………………………………4 UTANGULIZI: …………………………………………………………………………………………………………………….5 1.0 Utangulizi……………………………………………………………………………………………………………………….7 2.0 Aina za…
UFUGAJI WA KUKU BORA WA NYAMA (BROILER) HATUA KWA HATUA
Pakua App ya Tovuti hii HAPA Na Mwandishi wetu: Sefania Kajange Lengo la somo hili ni kukuwezesha wewe mfugaji kupata kuku wa nyama wenye uzito sahihi na kukuwezesha wewe kupata…
UFUGAJI WA KUKU WA MAYAI HATUA KWA HATUA: Utangulizi
Na Augustino Chengula UTANGULIZI Ufugaji wa kuku wa mayai katika Makala hii ya ufugaji wa hatua kwa hatua nitaelezea ufugaji wa kuku wa mayai kwa lengo la uzalishaji wa mayai…
Athari za mabadiliko ya hali ya hewa kwa kuku wa mayai
Pakua App ya Ufugaji HAPA Na Augustino Chengula Makala hii inampa msomaji uelewa wa kina wa nini kinatokea wakati wa baridi au joto kali hadi kupelekea kuku wake kupunguza utagaji…
Kwanini uongeze Lysine au Methionine ya Viwandani kwenye chakula cha kuku?
Pakua app ya Tovuti hii ya Ufugaji HAPA Na Augustino Chengula Neno protein siyo geni machoni pa wafugaji karibu wote maana limekuwa likitumika hata kwenye vyakula vya binadamu. Kuku wa…
Ujue Ugonjwa wa Kuhara Damu (Coccidiosis) Kwa Kuku na Namna ya Kukabiliana Nao
Pakua app yako ya Ufugaji HAPA ili uweze kufuatilia elimu hii kiganjani mwako Ugonjwa huu husababishwa na protozoa. Ugonjwa huu wa kuhara damu huonekana katika sura mbili. (1) Caecal coccidiosis…
Homa ya Matumbo (Fowl Typhoid) na Mharo Mweupe (Pullorum Disease) kwa Kuku
Na Augustino Chengula Haya ni magonjwa mawili tofauti yanayoshamulia kuku yenye kufanana kwa asilimia kubwa sana. Magonjwa yote yanasababishwa na bacteria aina ya Salmonela wakitofautiana kidogo wadudu wake. Wakati Taifoidi…
Uatamiaji wa asili, utotoleshaji vifaranga na matunzo kwa mama anayeatamia
PAKUA APP YA UFUGAJI HAPA Na mwandishi wetu Sefania Kajange Mayai kwa ajili ya kuatamiwa ni lazima yawe mapya, 1) Umri wa mayai baada ya kutagwa usiwe zaidi ya siku…
Biosecurity Katika Ufugaji wa Kuku
PAKUA APP YA UFUGAJI HAPA UTANGULIZI a) Maana ya Biosecurity Ni hatua zinazochukuliwa kuzuia au kudhibiti upenyezaji na usambaaji kwa visababishi vya magonjwa kwenye kundi la kuku. Kwa kuwa ufugaji…
Ng’ombe wa Maziwa: Mpango wa Msingi wa Uendelezaji wa Vizazi
Kwenye mpango huu utajifunza yafuatayo; Njia za uendelezaji wa vizazi/Koo: Uazalishaji wa asili na uhimilishaji Dalili za ng’ombe aliyekwenye joto Sifa muhimu za kuzingatia wakati wa kuchagua dume Kupata elimu…
Kunyonyoka Manyoya kwa Kuku
Kunyonyoka manyoya kwa kuku ni nini? Ni mchakato wa asili na muhimu kwa kuku kupoteza/kujinyonyoa manyoya ya zamani/yaliyochoka/yaliyovunjika ili kupata/kuota manyoya mapya. Kwa nini kuku wananyonyoka manyoya? * Sababu kuu…



