FOMULA YA CHAKULA CHA VIFARANGA
Na Sefania Kajange: Ni kwa ajili ya kuku wa kienyeji (pure) na wa kienyeji kutoka mataifa mbali mbali Chicks starter. Wiki 1-8 Kiini lishe Uzito (kg) Pumba za mahindi 40…
Na Sefania Kajange: Ni kwa ajili ya kuku wa kienyeji (pure) na wa kienyeji kutoka mataifa mbali mbali Chicks starter. Wiki 1-8 Kiini lishe Uzito (kg) Pumba za mahindi 40…
Na Sefania Kajange: Faida za kuku kumpa mboga za majani. Tukianza njia nzuri inayopendekezwa kitaalamu ni kuning’iniza mboga Sababu kubwa ni kuzuia kudonoana ¬_ Huongeza vitamini A hasa unapowa ukiwa…
Na mwandishi wetu Sefania Kajange: Upungufu wa vitamini A hujitokeza pale kuku atakapo kosa vitamini A mwilini. Ukosefu wa Vitamini A, huathiri kuku aina zote na umri wowote ila hasa…
Na Mwandishi Wetu Sefania Kajange: JINSI YA KUTENGENEZA MINYOO KWAAJILI YA KUKU Kutengeneza minyoo ya chakula (red worms planning) Red worms planning ni utaratibu wa kuzalisha minyoo kwa ajili ya…
Pakua App ya Tovuti hii HAPA Na Mwandishi wetu: Sefania Kajange Lengo la somo hili ni kukuwezesha wewe mfugaji kupata kuku wa nyama wenye uzito sahihi na kukuwezesha wewe kupata…
Na Augustino Chengula UTANGULIZI Ufugaji wa kuku wa mayai katika Makala hii ya ufugaji wa hatua kwa hatua nitaelezea ufugaji wa kuku wa mayai kwa lengo la uzalishaji wa mayai…
Pakua App ya Ufugaji HAPA Na Augustino Chengula Makala hii inampa msomaji uelewa wa kina wa nini kinatokea wakati wa baridi au joto kali hadi kupelekea kuku wake kupunguza utagaji…
Pakua app ya Tovuti hii ya Ufugaji HAPA Na Augustino Chengula Neno protein siyo geni machoni pa wafugaji karibu wote maana limekuwa likitumika hata kwenye vyakula vya binadamu. Kuku wa…
Pakua app yako ya Ufugaji HAPA ili uweze kufuatilia elimu hii kiganjani mwako Ugonjwa huu husababishwa na protozoa. Ugonjwa huu wa kuhara damu huonekana katika sura mbili. (1) Caecal coccidiosis…
Na Augustino Chengula Haya ni magonjwa mawili tofauti yanayoshamulia kuku yenye kufanana kwa asilimia kubwa sana. Magonjwa yote yanasababishwa na bacteria aina ya Salmonela wakitofautiana kidogo wadudu wake. Wakati Taifoidi…
PAKUA APP YA UFUGAJI HAPA Na mwandishi wetu Sefania Kajange Mayai kwa ajili ya kuatamiwa ni lazima yawe mapya, 1) Umri wa mayai baada ya kutagwa usiwe zaidi ya siku…
PAKUA APP YA UFUGAJI HAPA UTANGULIZI a) Maana ya Biosecurity Ni hatua zinazochukuliwa kuzuia au kudhibiti upenyezaji na usambaaji kwa visababishi vya magonjwa kwenye kundi la kuku. Kwa kuwa ufugaji…
Kunyonyoka manyoya kwa kuku ni nini? Ni mchakato wa asili na muhimu kwa kuku kupoteza/kujinyonyoa manyoya ya zamani/yaliyochoka/yaliyovunjika ili kupata/kuota manyoya mapya. Kwa nini kuku wananyonyoka manyoya? * Sababu kuu…
Anza kwa Kupakua App ya Ufugaji HAPA Pamoja na kuwapatia huduma bora kuku wako, kuwakinga na wanyama na ndege wanaoweza kuwadhuru iwe ni kitu cha muhimu kwenye vitu unavyopaswa kuvifanya…
Tunashauri jamii kufuga kuku wa kuchanganya damu (cross breed) yaani pandisha kuku wa kienyeji na wale wa kisasa (indigenous + Pure breeds) ili kuweza kupata kuku ambao kwa kiasi fulani…
Na Augustino Chengula Kwa asili kuku wanapenda sana kudonoa kila kitu wanachokiona kinawavutia chenye mfanano na chakula. Kwa bahati mbaya tabia ya kudonoa haiishii tu kwa vitu bali huenda mbali…
UPUNGUZAJI WA MIDOMO YA KUKU Maana. Ni uondoaji/ukataji wa sehemu ya ncha ya mbele kwenye upande wa juu na wa chini wa mdomo wa kuku. Kwa nini kuku hupunguzwa mdomo?…
Watu wengi wamekuwa wakiogopa kufuga vifaranga vya umri wa siku moja kwa kuogopa kwamba vifaranga vinakufa sana. Kuna sababu nyingi zinazofanya vifaranga wafe. Kubwa kati ya hizo ni: WANAPOTOTOLESHWA. UANGALIZI…
Kwa kawaida Tetea anatumia muda wa masaa 24 – 27 (siku moja) kutengeneza yai. Hakuna njia ya kupunguza muda huu (yaani atengeneze mayai miwili katika siku moja). Hiyo ndio asili…
Kujazana Kuku wakijazana kwenye banda lenye nafasi ndogo huanza tabia ya kudonoana. Kuboreka Kuku hupenda kuparuaparua na kuzunguka zunguka. Wakikosa nafasi na vitu vya kudonoa donoa huanza kudonoana wenyewe kwa…
You must be logged in to post a comment.