KWA NINI TUNAHITAJI DHANA YA “AFYA MOJA” KWA BINADAMU, WANYAMA NA MAZINGIRA?
PAKUA APP YA UFUGAJI HAPA Leo nakuletea Makala itakayojibu swali la kwanini tunahitaji dhana ya “Afya Moja” kama nchi ili kukabiliana na magonjwa yanayo mpata binadamu na Wanyama. Haijalishi wewe…
EMAX PRO FEED: KIRUTUBISHO KISICHO NA KEMIKALI KWA AJILI YA MIFUGO NA MIMEA
EMAX PRO NI NINI? Emax pro feed ni kirutubisho kisicho na kemikali kwa ajili ya mifugo,mimea na kurekebisha mazingira. Emax imetengenezwa kwa Lactic acid bacteria (Lactobacillus spp) Yeast (sacchromyces spp)…
JE WAJUA KWA NINI UGONJWA WA KIMETA UNAJITOKEZA MARA KWA MARA UKANDA WA KASIKAZINI MWA TANZANIA?
PAKUA APP YA UFUGAJI HAPA KAMA BADO Ndugu msomaji na mfuatiliaji wa makala za tovuti yako pendwa ya Ufugaji, leo nakuletea Makala muhimu sana inayohusu ugonjwa wa kimeta (Anthrax). Fuatana…
KWA NINI UOGESHE MIFUGO YAKO?
“KINGA NI BORA KULIKO TIBA” Huu ni usemi muhimu sana kwa wafugaji unaotufungulia makala yetu ya leo inayohusu kuogesha mifugo yetu. Lengo la kuogesha mifugo ni kuzuia magonjwa yanayoenezwa na…
UFUGAJI WA KUKU WA MAYAI HATUA KWA HATUA: HATUA YA SABA
-Kinga dhidi ya magonjwa na wadudu waharibifu Katika hatua hii nitaelezea magonjwa muhimu yanayo wakabili kuku wa mayai na wadudu walibifu na namna ya kukabiliana navyo. Ni hatua muhimu sana…
KIWANDA CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI CHAANZISHWA MANYONI, SINGIDA
Serikali imefunga mtambo wa kuchakata mazao ya nyuki kwa kiwango cha kimataifa wilayani Manyoni mkoani Singida. Kiwanda hiki kilichomalizika kufungwa kitakuwa na uwezo wa kuchakata asali lita 500 kwa siku.…
UFUGAJI WA KUKU WA MAYAI HATUA KWA HATUA: HATUA YA SITA
Uondoaji wa kuku waliokoma/kupunguza kutaga na kuanza upya ufugaji (Wiki ya 80 na kuendelea) Kuku wazuri wanaweza kutaga vizuri mfululizo kwa kipindi cha miaka miwili baada ya hapo utagaji wao…
KIPIMA JOTO ITV: KUIBUKA KWA UCHINJAJI HOLELA WA MIFUGO NA KUHATARISHA AFYA ZA WALAJI
JE MAMLAKA HUSIKA ZINAWAJIBIKA IPASAVYO KUDHIBITI TATIZO HILO? Hili ni swali la kipima joto kutoka kituo cha utangazaji cha Televisheni ya ITV kikiongozwa na mtangazaji mahili wa ITV Julieth Robert.…
UFUGAJI WA MENDE
Na Dua Ramadhan Ufugaji wa mende ni ufugaji ambayo unapendwa sana kwani nchini china, Denmark na Australia chakula kikuu cha kuku ni mende. Mende upunguza gharama kubwa ya chakula cha…
UFUGAJI WA KUKU WA MAYAI HATUA KWA HATUA: HATUA YA TANO
Utunzaji wa kuku wanao taga (Wiki 20-120) Kama tulivyoona kwenye hatua ya nne ya ufugaji wa kuku wa mayai, kuku wa mayai wanaweza kuanza kutaga yai moja moja na wakati…
JINSI YA KUTENGENEZA FUNZA KWA CHAKULA CHA KUKU
Na Dua Ramadhan Moja ya virutubisho muhimu vya kuku ni protini ambayo unaweza kuwapa kupitia vyakula mbalimbali. Funza ni wadudu walio na protini nyingi ambayo inahitajika sana kwa ajili ya…
UFUGAJI WA KUKU WA MAYAI HATUA KWA HATUA: HATUA YA NNE
Utunzaji wa kuku wa mayai wanaokaribia na wanaoanza kutaga (Wiki ya 12-20) Umri huu ni wa kuku wanaojulikana kama matetea vijana ( “pullets “) walioko kwenye kipindi cha mpito cha…
UFUGAJI WA MINYOO KWA AJILI YA KUKU, BATA NA SAMAKI
Na Dua Ramadhan Minyoo (Red Worms) ni chakula kizuri sana cha kuku, Bata na Samaki kwani minyoo wanaprotini nyingi sana, kuku, wakipewa minyoo wanakuwa kwa haraka na kuwafanya kuwa na…
UFUGAJI WA KUKU WA MAYAI HATUA KWA HATUA: HATUA YA TATU
Utunzaji wa kuku wa mayai walio katika umri wa ukuaji (Wiki ya 6 au 8-12) Hii ni hatua ya kati ya ukuaji wa kuku wa mayai, si vifaranga tena bali…
UTARATIBU WA KUPATA LESENI YA BIASHARA YA MIFUGO HAI
A: BIASHARA YA MIFUGO KATIKA MKOA Mfanyabiashara anapaswa kuwa na vielelezo vifuatavyo: 1.Kutambuliwa na kusajiliwa na Bodi ya Nyama kupitia Idara ya Mifugo katika Halmashauri ya Wilaya husika kwa malipo…
MAPITIO YA UFUGAJI WA SAMAKI
Na Peter Britz na Samantha Venter Taarifa kuhusu Africa Kupanda taratibu kutokea mwanzo kwa ufugaji na uzalishaji wa samaki barani Afrika, inaonyesha kutakuwepo na ukuaji endelevu kwa miongo miwili ijayo.…
EPUKA KUFANYA MAKOSA WAKATI WA KUTUNZA CHAKULA CHA KUKU
Chakula cha kuku ni bidhaa muhimu kutunzwa kwa uangalifu, kwani kisipotunzwa vizuri, na ukawalisha kuku wako: – Wanaweza kuumwa – Wanaweza kuacha kutaga – Au wanaweza kufa SABABU ZA CHAKULA…
UFUGAJI WA KUKU WA MAYAI HATUA KWA HATUA: HATUA YA PILI
-Usafirishaji na upokeaji wa vifaranga Endapo unanunua vifaranga hakikisha una namba sahihi na kwamba vifaranga wanauwiano sawa, wapo hai na wachangamfu na hawana matatizo yeyote na kitovu hakina dalili za…
UFUGAJI WA KUKU WA MAYAI HATUA KWA HATUA: HATUA YA KWANZA
Uandaaji wa nyumba ya kuku wa mayai Uandaaji wa nyumba ya kuku wa mayai ni jambo la kutilia kipau mbele maana nyumba iliyobora inawafanya kuku wafurahi na kukupa matokeo unayotaraji…
TEKNOLOJIA YA UFUGAJI MSETO WA SAMAKI, KUKU NA MAZAO YA KILIMO
Utangulizi Ufugaji wa samaki ni ukuzaji wa samaki katika mabwawa, matenki n.k Mseto wa ufugaji wa samaki, kuku na kilimo cha mzao ya kilimo (Integrated Aquaculture agriculture -IAA) ni kilimo…



